Na wasiwasi na upeo wako, vile vile ni mbinasfi. Watangulizi wangepigania familia zao leo hata hiyo familia unayotaka kuipigania isingekuwa hapo. Kupigania familia ni pamoja na kulinda rasilimali zetu kwa faida sasa na vizazi vijavyo.
Mbaya zaidi rasilimali zinazoshambuliwa ni za Tanganyika, baada ya hapo mtu anaenda kutulia zake Kizmkazi, wqtanganyika watabaki wanahaha wenyewe na kulaumiana na viongozi watanganyika waliokuwa na nanafasi wakati wa ushambuliaji wa rasilimali hizo.
Ili kulinda heshima ya raisi; waziri Makame Mbarawa angejihudhuru uwaziri kwa maslahi ya nchi, ili raisi apate mwanya wa kuupiga chini mkataba. Kesi inakuwa imeishia hapo. Ila kuendelea kung'ang'ana na kitu ambacho kimeonekana kina mapungufu makubwa ya wazi na bado watu wamekaza shingo, haileti...
Duniani tunapita..utafanya chochote utakacho kutokana na mamlaka yako lkn hata ufanyaje kunasiku utaiacha hiyo nafasi watashika wengine, utaiba fedha nyingii lkn weza kula pipa la chakula pekeyako, utajenga majumba ya kifahari lakini utalala chuma kimoja kitanda kimoja. Hata ufanyaje. Lazima...
Swala bandari ni kubwa zaidi ya jatiba. Kwani hujashuhudia kwa katiba hii hii tu watawqla wanaikanyaga?? Hivi jiulize DP Word tumempa haki ya kuwekeza bandari zote za bahari na maziwa, bandari kavu na njia za uchukuzi??
Eti kukiwa na fursa ajulishwe yeye kwanza, hapo kuna fair competition...
Na wewe inaonesha ni mtoto wa mama sana. Watu wametoka michakatoni na kila mtu na shughuli anayoifanya, wametoka jasho siku nzima ikiwa pamoja na kichwa, sasa mida hiyo ulitaka anukie???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.