Wadau habari zenu nimerudi tena, ndugu yenu nimepata zari wakubwa.
Nimepata chance ya kufundishwa production ya mziki na producer mkubwa sana tu hapa bongo kama nilivowaambiaga nna tatizo la bipolar ila mziki ni kitu ambacho nimekifanya kwa mda mrefu bila kujali tatizo hilo tofauti na harakati...
Hello guys wa jf tumekua tukishauriana vingi na nilitamani tena mnipe mawazo.
Nipo chuo diploma ya kwanza IT chuo Fulani Nina umri wa miaka 20 ila kadri siku zinavozidi kwenda sio siri napoteza muamko na kusoma na Kuna changamoto ambazo ninazo binafsi za kiafya ambazo ni ngumu kuajiriwa au...
Nataka niwe nafungua balo za nguo zozote nahesabi idadi ya pic zilizopo then namgei uyo mtu akauze na kuhusu mnada nataka uwe mnada wa kutembea maan kuna wanaotembea na minada unakuta kwenye wiki mtu kaenda ata minada mi4
Habari zenu wadau naimani mungu Bado anatueka salama
Leo nimekuja naombeni ushauri kuhusu biashara ya kuuza nguo minadani Kwa kufungua baloo kabisa je itanilipa nimepanga kumuajiri mtu awe anatembea na mnadani Ani Kwa wiki aweze kwenda minada ata mi4 je hii itanilipa wadau tupo apa kusaidiana...
Habari
Wiki ilioisha niliona mdau kaelezea kuhusu biashara ya juice sikumuelewa vizuri.
Kama kuna MTU anaijua vizuri ajaribu kushare lolote na Mimi nataka kuijua changamoto yake, mahali unayoweza kuifanyia ani iwe na factors zip za muhimu pia faida ake
Ndugu zangu niliomba msaada juu ya ugonjwa Wa bipolar sikupata msaada sahihi naomba mwenye uelewa anisaidie kuhusu matibabu yake au namna ya kupata msaada kuutibu
Mwanaume nina swali ndugu zangu ivi unaeza ukashare mtaji na mchumb wako kufungua biashara yoyote? Na kama ukiweza unaeza unatumia mikakati gani ili usichanganye mapenzi na biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.