Recent content by Mdarahamani

  1. M

    Kwa hili nililolifanya kwenye mwenge nini kinaweza kunipata?

    Kama toka mwanzo uliwakatalia wakakukata kiubabe,na hakuna sehemu yoyote mliyoandikishana kiasi fedha walichokupatia.Waambie wakupe laki 3 yako ndio uwape risiti, kama hawana na unataka kuwasadia basi wapatie risiti ya walichokulipa tu. Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  2. M

    Taratibu za kufungua Microfinance

    I wish Mungu amuongoze jamaa akutumie wewe maana hatojuta
  3. M

    Kwa mafundi simu na wauza Spare za Simu Tunauza tach na lcd kwa bei nafuu zaidi wx3 tunauza kwa 3600 tu.

    Naulizia Lcd display ya samsung note 5,siioni hapo kwenye list
  4. M

    ATM za mabenki zimekuwa deal kwa kuweka 5,ooo

    Limit ya kutoa fedha kwenye ATM inawekwa kwa idadi ya noti.Hivyo kama unataka utoe laki 4 maana yake ATM itakupatia noti 40 za elfu 10 ambazo utakuta ndio kiwango cha mwisho cha juu,Sasa ikiwa zimewekwa noti za elfu 5 tano tupu inamaanisha idadi hiyo ya fedha itahitaji noti 80 za elfu 5...
  5. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Asante mkuu
  6. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Asante kwa majibu yako mkuu,yametusaidia wengi kwani na mimi nimekutwa na kantangaze tena wakati tayari nyanya(assila) ina matunda madogo.Nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu hizo tuta traps
  7. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Asante chief
  8. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Nimekusoma,nashukuru sana
  9. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Asante sana mkuu
  10. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Shukrani
  11. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Ugonjwa wa kutu mkuu,huu ulitokana na athari ya majani ya chini kulala kwenye matope kutokana na mafuriko
  12. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Wakuu naomba ushauri wa dawa ya kutu ambayo naweza kupiga kwenye nyanya ambayo ina maua
Back
Top Bottom