Kama toka mwanzo uliwakatalia wakakukata kiubabe,na hakuna sehemu yoyote mliyoandikishana kiasi fedha walichokupatia.Waambie wakupe laki 3 yako ndio uwape risiti, kama hawana na unataka kuwasadia basi wapatie risiti ya walichokulipa tu.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Limit ya kutoa fedha kwenye ATM inawekwa kwa idadi ya noti.Hivyo kama unataka utoe laki 4 maana yake ATM itakupatia noti 40 za elfu 10 ambazo utakuta ndio kiwango cha mwisho cha juu,Sasa ikiwa zimewekwa noti za elfu 5 tano tupu inamaanisha idadi hiyo ya fedha itahitaji noti 80 za elfu 5...
Asante kwa majibu yako mkuu,yametusaidia wengi kwani na mimi nimekutwa na kantangaze tena wakati tayari nyanya(assila) ina matunda madogo.Nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu hizo tuta traps
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.