Habarini wana JF!
Bila kupoteza muda nitoe wasifu wangu kwa ufupi kwa intaneti. Binafsi nawiwa kuona jamii inajikita kuweka miundombinu ya intaneti kwa matumizi ya wengi. Kutokuwepo intaneti ya uhakika kumenikosesha fursa nyingi ambazo nilitamani sana nizifanye kwenye eneo langu zikiwemo kusoma...
Sasa hii movement inabidi ianzishwe na mwenye nyumba ambapo yeye atamiliki mita kuu ambayo unit zake hazipaswi kutumika. Hata zikitumika ina maana mwenye nyumba awajibike kununua
Sasa hata kwenye majiji kama Arusha, Mwanza ISP ni wachache kama kigezo ni biashara. Wote wamejaa Upanga
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.