Mkuu wa mahusiano ya vyombo vya habari wa Hezbollah, Mohammad Afif, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na ndege za kijeshi za Israeli katika mji mkuu wa Beirut.
Tukio hili limezua maswali kuhusu malengo ya mashambulio ya Israeli na athari zake kwa usalama wa Mashariki Ya Kati.
Katika...
Kibu Denga Wakati anatoka Mbeya City alikuwa mchezaji wa kawaida sana tena iyo hela ilikuwa ni nyingi sana sema viongozi wa Simba nao wamefeli kwa kushindwa kukaa nae mezani kuboresha mkataba wake
Msije kusema sijawaambia, weka milioni 10 mpe Yanga ashinde ujishindie milion 20 za bure kabisaa.
Kumbuka Max Nzegeli ndio amebeba hirizi ya timu na ule uwezo utakaouonesha leo jueni ni ndumba hizo ndizo zinazofanya kazi.
Mkuu huyo zezeta hataweza kukujibu ilo swali, hebu achana nae maana ni miongoni mwa walamba miguu ya kina Tray Again, mambo ya kipuuzi yanafanyika klabuni lakini linasifia tu
Aisee basi wanaitaji msaada mkubwa sana, tuwaidie, popote ukutanapo na shabikia wa Simba mwambie simba ndio bingwa wa ligi ya nbc na ndio timu tishio duniani kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.