Recent content by Mczigga

  1. Mczigga

    Usipende kutangaza au kuonesha mafanikio yako waache watu wagundue na kuona wenyewe

    Hicho ndio kizazi cha Facebook na tiktok na simu zao za mkopo
  2. Mczigga

    Haya ni masharti ya waganga ili uwe tajiri wakutupwa , je utaweza?

    Yafaa nini kuwa na utajiri huo kama siwezi kuwapa wazazi hela wala kumbato
  3. Mczigga

    GE2025 Hivi kweli Babu Tale ni wa kuongoza Kura za maoni?

    Uchawi+ rushwa+ uzezeta wa wana ccm= uongozi mbovu
  4. Mczigga

    Nionyeshe Mradi Mmoja wa maana wa Samia nikuonyeshe Nane ya Magufuli ndani ya miaka minne ya utawala wao

    Weeee sema kweli,, na kuwa raisi kote huko michambo yote hiyo bado anachuchumaa??
  5. Mczigga

    Ukisoma hizi data utaona unafiki wa wakristo, mikoa wanayoishi na kupatikana ndo inaongoza kwa uchawi na ushirikina

    Mchawi anaweza kumuua mchawi mwenzie? Mfano tanga kila baada ya nyumba 2 kuna mganga je kweli hapo kuna wa kumuua mwenzie wakati wote familia
  6. Mczigga

    Nahisi kukata tamaa. Nifanye nini kujinasua?

    Ndio natoka kwa mganga anasema hatujalogwa mkuu ila sisi ni wazembe tu, anasema tukifanya kazi kwa bidii mbona tunatoboa
  7. Mczigga

    Je, umewahi kujisaidia vichakani?

    Mzee wa vichaka unatoa experience yako ya miaka 25 ya kujisaidia vichakani hakika wewe ni mbobevu, salute
  8. Mczigga

    Majibu ya rafiki yangu baada ya kumuuliza Siri ya mafanikio yake

    Plan A: kufanya kazi kwa bidii Plan B: kuwa drug dealer Plan C: kuwa jambazi Plan D: kutafuta mshangazi mweupe mweny gar na hela za kutosha
  9. Mczigga

    Jinsi kilimo kilivyobadilisha maisha yangu

    Janja ameingia mitini mbona sioni muendelezo
  10. Mczigga

    Tuliosoma SAUT MWANZA (main campus) tukutane hapa

    Dah uyo jamaa pepa lake nilifanya maswali mawili na nusu ila nilipata C, pepa halikua na mtu wa kwanza kutoka yan hadi wasimamizi waliposema shusha peni apo ndio wadau wanaanza kukusanya asee
Back
Top Bottom