Hivi mkipostiana kwenye mitandao ndo ishara ya upendo? Ingawa utaratibu wa kila mahusiano au ndoa ni wa wale waliomo, lakini kwangu hii kanuni naiona kama ulimbukeni flani hivi.
Labda kama mnaishi kwa umaarufu (fame), yaani kipato chenu kinategemea publicity ya wapenzi, huenda!
Kwani kwa sasa hivi nini kinaendelea?
Maana lazima katika ununuzi wa kahawa au zao lolote kuwepo na mifumo kwa ajili usimamizi wa karibu kuhakikisha zoezi linaenda vyema bila purukushani.
Hivyo kuwepo kwa KDF au KCU katika kusimamia minada sio sura toshelezi kwamba mambo ni kama zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.