CDM wasipepese macho hapa, ni kuwafukuza tu hawa wahalalishaji haramu.
Ukiona nzi wa kijani wanaruka ruka Kwa furaha ujue kuna matunda yameoza au mzoga.
Ondoa mzoga mazingira yatulie watu wapate oksjeni maisha yaendelee
"Sina shida kabisa na aina ya Utangazaji wako kwani hata Mimi japo ni mwana Simba SC naupenda na labda nikuambie tu Wewe umekuwa ni Mtangazaji Mahiri mno wa Michezo katika Watangazaji wa Kizazi hiki cha Kati na umeweza Kuwashawishi Watu wengi (Watangazaji) wengi wa Michezo Kukuiga kwa Mikogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.