Recent content by mcoloo

  1. M

    Dharau za Ndugai kwa Watanzania zimepitiliza

    Tuta sema ukweli hata kama ni mchungu. Huyu Ndugai anayedai kuwa anajua maana ya kufundwa mbona wakati wa kampeni za 2015 alimpiga fimbo ya kichwani mgombea mwenza hadi akazimia na kulazwa hospitali. Kitendo hicho cha kishenzi kilitosha kumnyima nafasi ya kuwa spika. Ndugai lazima afahamu...
  2. M

    Hukumu dhidi yangu: Asante Watanzania, asante Ndugu na Marafiki

    Hongera, elewa tu kuwa mapambano ni moja ya sehemu ya maisha ya mwanadamu.
  3. M

    ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

    Kwa katiba ipi na kwa watu gani hao wanao iheshimu hiyo katiba.
  4. M

    ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

    Hicho ndicho kiwango Cha ufahamu wako, inabidi tuheshimu huo ufahamu ulio nao.
  5. M

    The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    Pascal, kwako kuna mambo mawili inawezekana kweli ukawa umeunga jitihada mkono au imekuwa ukiipiga CCM fimbo kwa kupitia mgongoni wenye akili wamesha kugundua.
  6. M

    The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    Huyu mayala Ni hovyo kabisa, daima anataka mtizamo wake ndo ueleweke na kukubalika utadhani ana akili nyingi kuliko wengine akikuona unakinzana naye ana ku report kwa moderater ili ufungiwe kutoa comments zako. Mi Kisha nifanyia hivyo, hafai kabisa Kama njaa.
  7. M

    Mkwamo wa Bunge kikanuni bila kambi Rasmi ya Upinzani

    Bunge la 'Hapa kazi' mnataka wapinzani wa kazi gani ?
  8. M

    Spika Ndugai aumizwa na chama cha siasa kutoleta Wabunge wa Viti Maalum, adai zingekuwa nafasi za wanaume wangelishafika

    Kwa sababu Watanzania wana kiu ya maendeleo ni vema Kama CCM wangechukuwa hizo nafasi ili kusiwe na watu wa kupinga hoja zao mjengoni. Maendeleo huletwa na chama kimoja sio vyama vingi.
  9. M

    Malipo ya madeni kwa wanafunzi na nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi kipindi hiki ni rushwa ya CCM kwenu, msidanganyike

    Ndugu Wana bodi kitendo Cha serikali ya CCM kuanza kulipa madeni ya wafanyakazi na kuwapandisha madaraja inadhihirisha wazi kuwa huu Ni ukiukwaji wa maadili na kanuni za uchaguzi mkuu. Nawakumbusha wafanyakazi wote kuwa hizi ni dharau kubwa Sana kwa miaka mitano mmesoteshwa halafu leo...
Back
Top Bottom