Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Hongera sana na pole naamini sasa ndio umeiva katika uendeshaji wa mtandao.
USHAURI: jitahidi kufuata sheria ukibalance na miiko ya uliyo jiwekea. Kama tuu hapa JF tunaishi kwa masharti na miiko uliyotuwekea. Hakuna shuguli yeyote isiyo na masharti au miiko.
USHAURI: jitahidi kufuata sheria ukibalance na miiko ya uliyo jiwekea. Kama tuu hapa JF tunaishi kwa masharti na miiko uliyotuwekea. Hakuna shuguli yeyote isiyo na masharti au miiko.