Wizara ya Maendeleo ya Vijana, imeanika wazi mwongozo kwa vijana namna ya kuomba na kunufaika na mikopo ya Sh200 bilioni ambayo imekuwa ikitangazwa na Serikali kuwa lengo lake ni kuwawezesha kiuchumi.
Katika mwongozo huo uliotolewa leo Jumamosi Machi 21, 2026, serikali imeeleza kuwa waombaji...
Wakuu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa, ameazimia katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa CELAC uliofanyika Bogotá Machi 22, 2026 la kutambua biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki kama uhalifu dhidi ya ubinadamu na kuthibitisha haki ya...
Wakuu,
Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre Prosper Kessy wa Jimbo Kuu la Dar es salaam alisema kuwa kuna viongozi Serikalini wanakaa na siri...
Wakuu,
Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba
Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room
Lakini vilevile...
Kampuni ya teknolojia Meta imezindua mpango mpya unaolenga kuwavutia watengeneza maudhui maarufu (creators) kutoka majukwaa pinzani kama TikTok na YouTube kuhamia Facebook.
Mpango huo unaojulikana kama Creator Fast Track unatoa motisha ya kifedha pamoja na kuongeza ufikikaji wa maudhui (boosted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.