Wakuu,
Mimi mbinu ninayotumia ni nikipigiwa simu na ndugu ile kabla hajaanza kuongea shida yake, naanza kulalamika mimi jinsi maisha yalivyokuwa tight
"Aise Mjomba, umepiga wakati mzuri sana! Hapa nilipo hata sijui kodi ya mwezi ujao nitatoa wapi, mambo yamebana mbaya mno...
Kwa mtu mwenye...
Wakuu,
Kumkumbuka tutamkumbuka apo kwenye tutamkumbuka kwenye nini Mchengerwa atuachie sisi
========
Waziri Mchengerwa aliyasema hayo Julai 23, 2026 kwenye ziara yake ya kikazi ya siku 4 mkoani Kilimanjaro
"Nataka niwaambie, ipo siku tutamkumbuka Rais huyu. Ipo siku. Nakumbuka wakati wa...
Mimi kuna ile tabia unakuta mtu anaongea na Loud Speaker kwenye simu yaani basi zima mtu anaongea yeye tu. Binafsi nakwazika sana.
Hata kama unaongea kwanini usiongee kwa sauti ndogo? Wasukuma wengi wana tabia hii
Na kuna hawa abiria ambao wanalala fofofo na usipokaa kitaalamu anakudondokea...
Wakuu habarini
Hivi hela ya mchezo namaanisha ile ya vikoba au sijui saccos, kwa kiingereza inaitwaje?
Soma Pia: Hili suala la wanawake kusaka hela ya mchezo ya kuchangishana ni Tatizo sana
Nimeona niulize maana sijawahi kusikia hili neno kwa kiingereza
Wataalamu na wajuzi wa lugha jukwaani...
Nauliza tu maana miaka 2 nyuma ilikuwa kila msanii wa Tanzania alikuwa anatoa ngoma ya Amapiano lakini siku hizi naona upepo umekata kabisa
Soma Pia: Spotify yatangaza ngoma na wasanii wa Tanzania waliosikilizwa zaidi mwaka 2024. Marioo ashika usukani!
Marioo – Mama Amina (ft. Sho Madjozi &...
Wakuu,
Hii video inatrend kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii
Hawa wananchi wa kwenye hiki kijiji cha Kisaki (Kata ya Kisaki), kilichopo katika Wilaya ya Morogoro Vijijini, Mkoa wa Morogoro,bila uoga wamelalamikia uonevu, unyanyasaji, na matumizi makubwa ya nguvu (ukatili) kupitiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.