Recent content by McLaren

  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Walimu wapunguza siku za kufanya kazi hadi 3 kisa mishahara kuwa midogo

    Kwa kifupi, walimu wa shule za serikali nchini Zimbabwe (kupitia chama chao cha ARTUZ) wamegoma kufanya kazi wiki nzima. Wamesema badala ya kufanya kazi siku zote 5 za wiki (Jumatatu hadi Ijumaa), watakuwa wanaingia madarasani siku 3 tu, halafu zile siku 2 zilizobaki wanakwenda kufanya mishe...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kuzeeka? Siku hizi Movie ya masaa 2 naimaliza in 3 days, nashindwa kufocus. Niko peke yangu?

    Hii inasababishwa na nini mkuu
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kuzeeka? Siku hizi Movie ya masaa 2 naimaliza in 3 days, nashindwa kufocus. Niko peke yangu?

    Action movie mkuu, it took me 5 business days kuimaliza yote
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kuzeeka? Siku hizi Movie ya masaa 2 naimaliza in 3 days, nashindwa kufocus. Niko peke yangu?

    Wazee Nakumbuka zamani ilikuwa naweza nikakaa saa 6 naangalia movie tu, Yaani nilikuwa na uwezo wa kukaa kitako na kuangalia filamu mwanzo hadi mwisho bila shida tu. Lakini siku hizi yaani siwezi kabisa, ntaweka movie niangalie kwenye TV lakini baada ya dakika 15 ntakuwa bored, ntatafuta...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kukatika kwa umeme kwazua kizaazaa Gambia, raia waandamana nchi nzima, Rais aomba radhi

    Rais wa The Gambia, Adama Barrow, amewaomba wananchi wake kuwa wavumilivu baada ya maandamano makubwa kuibuka mtaani kupinga kero ya kukatika kwa umeme kwa muda mrefu. Katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo, wananchi wamekuwa wakikaa giza totoro na bila umeme kwa hadi saa 48 mfululizo katikati ya...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Ni filamu za nchi gani zinaongoza kwa uongo mwingi?

    Wahindi ni waongo Mimi niliacha kuangalia movie za Kihindi baada ya kuona ‘Starring’ kapigwa risasi, kaidaka alafu kairudisha kwa adui aliyempiga nayo kisha huyo adui akafariki hapo hapo
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu kaanzisha biashara, kila wiki anataka nimuungishe, imekuwa kero!

    Wakuu, Jamani mkianzisha biashara muwe mnaangalia na wateja, Kuna mwanangu kaanzisha biashara ya smoothies na juice. Alivyoanza biashara yake kiuana nikawa naenda kununua, nikitoka ofisini ntapitia ntanunua hata smoothies mbili nitaondoka Sasa sijui jamaa kaona dezo, yaani kila baada ya...
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania Singing jr huko Whatsapp anatoa vi0ande humohumo akijisikia viands kipande kimoja coins 3

    Fungua code mkuu Watu wa mikoani hatujakuelewa
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hizi ni biashara ambazo kwa Tanzania nikisikia mtu ameanzisha huwa naishia kusikitika tu!

    Sio kwamba biashara hizi hazilipi kabisa, bali mtindo wa kuzifanya kwa copy-paste bila kuongeza thamani (value addition) ndio unaofanya watu wafilisike haraka. 1. Duka la Vinywaji Baridi na Miamala na Mpesa (Frame ya Mtaani) - Hizi biashara zinatosha jamani. Faida ni ndogo mno, na mteja hana...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania Video: Diwani apigwa Tofali la Kichwa na wananchi

    Bado anapumua? Wangemshindilia na lingine la kichwa kabisa
Back
Top Bottom