Kwa kifupi, walimu wa shule za serikali nchini Zimbabwe (kupitia chama chao cha ARTUZ) wamegoma kufanya kazi wiki nzima.
Wamesema badala ya kufanya kazi siku zote 5 za wiki (Jumatatu hadi Ijumaa), watakuwa wanaingia madarasani siku 3 tu, halafu zile siku 2 zilizobaki wanakwenda kufanya mishe...
Wazee
Nakumbuka zamani ilikuwa naweza nikakaa saa 6 naangalia movie tu,
Yaani nilikuwa na uwezo wa kukaa kitako na kuangalia filamu mwanzo hadi mwisho bila shida tu.
Lakini siku hizi yaani siwezi kabisa, ntaweka movie niangalie kwenye TV lakini baada ya dakika 15 ntakuwa bored, ntatafuta...
Rais wa The Gambia, Adama Barrow, amewaomba wananchi wake kuwa wavumilivu baada ya maandamano makubwa kuibuka mtaani kupinga kero ya kukatika kwa umeme kwa muda mrefu.
Katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo, wananchi wamekuwa wakikaa giza totoro na bila umeme kwa hadi saa 48 mfululizo katikati ya...
Wahindi ni waongo
Mimi niliacha kuangalia movie za Kihindi baada ya kuona ‘Starring’ kapigwa risasi, kaidaka alafu kairudisha kwa adui aliyempiga nayo kisha huyo adui akafariki hapo hapo
Wakuu,
Jamani mkianzisha biashara muwe mnaangalia na wateja,
Kuna mwanangu kaanzisha biashara ya smoothies na juice. Alivyoanza biashara yake kiuana nikawa naenda kununua, nikitoka ofisini ntapitia ntanunua hata smoothies mbili nitaondoka
Sasa sijui jamaa kaona dezo, yaani kila baada ya...
Sio kwamba biashara hizi hazilipi kabisa, bali mtindo wa kuzifanya kwa copy-paste bila kuongeza thamani (value addition) ndio unaofanya watu wafilisike haraka.
1. Duka la Vinywaji Baridi na Miamala na Mpesa (Frame ya Mtaani) - Hizi biashara zinatosha jamani. Faida ni ndogo mno, na mteja hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.