Recent content by McLaren

  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hii ndio mbinu ninayotumia kukwepa vizinga vya kuombwa pesa kutoka kwa ndugu, haijawahi kunifelisha...

    Wakuu, Mimi mbinu ninayotumia ni nikipigiwa simu na ndugu ile kabla hajaanza kuongea shida yake, naanza kulalamika mimi jinsi maisha yalivyokuwa tight "Aise Mjomba, umepiga wakati mzuri sana! Hapa nilipo hata sijui kodi ya mwezi ujao nitatoa wapi, mambo yamebana mbaya mno... Kwa mtu mwenye...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Wakuu, Kumkumbuka tutamkumbuka apo kwenye tutamkumbuka kwenye nini Mchengerwa atuachie sisi ======== Waziri Mchengerwa aliyasema hayo Julai 23, 2026 kwenye ziara yake ya kikazi ya siku 4 mkoani Kilimanjaro "Nataka niwaambie, ipo siku tutamkumbuka Rais huyu. Ipo siku. Nakumbuka wakati wa...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Unawashwa eeh?
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Nawapigaga miziki ya kikongo
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Nitakuja na uzi wa wapanda ndege Sema kingine!
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Hapo kwenye muziki unakuta mtu unataka kujipumzisha kidogo ila wanaweka mziki wa juu sana Wanaboa sana
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Hupendi amani kabisa
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Mimi kuna ile tabia unakuta mtu anaongea na Loud Speaker kwenye simu yaani basi zima mtu anaongea yeye tu. Binafsi nakwazika sana. Hata kama unaongea kwanini usiongee kwa sauti ndogo? Wasukuma wengi wana tabia hii Na kuna hawa abiria ambao wanalala fofofo na usipokaa kitaalamu anakudondokea...
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hela ya 'Mchezo' kwa kiingereza inaitwaje?

    Wakuu habarini Hivi hela ya mchezo namaanisha ile ya vikoba au sijui saccos, kwa kiingereza inaitwaje? Soma Pia: Hili suala la wanawake kusaka hela ya mchezo ya kuchangishana ni Tatizo sana Nimeona niulize maana sijawahi kusikia hili neno kwa kiingereza Wataalamu na wajuzi wa lugha jukwaani...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania Upepo wa Amapiano Tanzania umekata? Wasanii kwanini hawatoi tena ngoma za Amapiano?

    Nauliza tu maana miaka 2 nyuma ilikuwa kila msanii wa Tanzania alikuwa anatoa ngoma ya Amapiano lakini siku hizi naona upepo umekata kabisa Soma Pia: Spotify yatangaza ngoma na wasanii wa Tanzania waliosikilizwa zaidi mwaka 2024. Marioo ashika usukani! Marioo – Mama Amina (ft. Sho Madjozi &...
  11. McLaren

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Clip ya Wananchi wa Kisaki kupinga mauaji yanayofanywa na Askari wa Hifadhi Morogoro, inatuma ujumbe gani kwa Mamlaka?

    Wakuu, Hii video inatrend kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii Hawa wananchi wa kwenye hiki kijiji cha Kisaki (Kata ya Kisaki), kilichopo katika Wilaya ya Morogoro Vijijini, Mkoa wa Morogoro,bila uoga wamelalamikia uonevu, unyanyasaji, na matumizi makubwa ya nguvu (ukatili) kupitiliza...
Back
Top Bottom