Recent content by McLaren

  1. McLaren

    Kwa vijana mnaohitaji kupata mkopo wa Serikali wa Bilioni 200, hatua za kufuata ni hizi hapa!

    Wizara ya Maendeleo ya Vijana, imeanika wazi mwongozo kwa vijana namna ya kuomba na kunufaika na mikopo ya Sh200 bilioni ambayo imekuwa ikitangazwa na Serikali kuwa lengo lake ni kuwawezesha kiuchumi. Katika mwongozo huo uliotolewa leo Jumamosi Machi 21, 2026, serikali imeeleza kuwa waombaji...
  2. McLaren

    Waziri wa Mambo ya Nje Ghana ataka nchi za Afrika zilizoathirika na biashara ya utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki kulipwa fidia

    Wakuu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa, ameazimia katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa CELAC uliofanyika Bogotá Machi 22, 2026 la kutambua biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki kama uhalifu dhidi ya ubinadamu na kuthibitisha haki ya...
  3. McLaren

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Wakuu, Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre Prosper Kessy wa Jimbo Kuu la Dar es salaam alisema kuwa kuna viongozi Serikalini wanakaa na siri...
  4. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Kimara hapana. Gharama za maisha ni kubwa na mpaka ufike mjini lazima viungo vyako vyote vya mwili viwe vimechoka Kimara ni kwa wenye mipunga mirefu
  5. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Goba Matosa karibu na shule ya Sekondari ndani ndani huko unapata
  6. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Kipindi hicho kodi zilikuwa sio kubwa kama sasa mkuu Saizi chumba cha 50k dar hupati na ukipata hakina tofauti na stoo
  7. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Kodi elekezi kwa kijana ambaye anaanza maisha inatakiwa iwe shingapi mkuu?
  8. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Hapo kwenye popote hapo mkuu Kweli utawashauri vijana wakaanze maisha Masaki na Mbezi Beach?
  9. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Naona ndogo sana hii mkuu. Au kodi ndogo inatakiwa kuwa kiasi gani
  10. McLaren

    Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Wakuu, Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room Lakini vilevile...
  11. McLaren

    Meta kuanza kulipa content creators wa Facebook wenye followers zaidi ya 100,000

    Kampuni ya teknolojia Meta imezindua mpango mpya unaolenga kuwavutia watengeneza maudhui maarufu (creators) kutoka majukwaa pinzani kama TikTok na YouTube kuhamia Facebook. Mpango huo unaojulikana kama Creator Fast Track unatoa motisha ya kifedha pamoja na kuongeza ufikikaji wa maudhui (boosted...
Back
Top Bottom