The United States Department of State has officially designated Faustine Jackson Mafwele, a Senior Assistant Commissioner of the Tanzania Police Force (TPF), for his involvement in "gross violations of human rights."
The announcement, made by State Department Spokesperson Tommy Pigott, invokes...
Alichoandika Hilda Newton:
Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea.
Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti.
Katika maongezi hayo...
Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kwa umma leo tarehe 21 Mei 2026, kufuatia sintofahamu na taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni tangu jana usiku kuhusu kukamatwa kwa Ndg. David Joseph Mghanja (maarufu kama Djumbe) na watu ‘wasiojitambulisha’ huko maeneo ya...
Wakuu,
Alichokisema Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Amani Golugwa leo wakati akizungumza kuhusu tukio la jaribio la utekaji la Msaidizi wa Utekaji David Djumbe:
"Wakati ninaendelea na mazungumzo nao, nikampigia Afande ZCO, Afande Mafwele, ambaye nilimtafuta usiku kucha nilikuwa simpati. Nikampata...
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.
David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma
Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji...
Kuhusu Demokrasia, Uchaguzi na kinachoendelea Tanzania, Muswada huu ambao umetengenezwa na Seneta Ted Cruz na Shaheen unasema yafuatayo:
(1) Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kinoma Afrika, kukiwa na ukuaji thabiti wa kiuchumi katika kipindi cha miaka kumi iliyopita...
Senators Jeanne Shaheen and Ted Cruz unveiled the Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship Act on May 19, directing a 90-day State Department review of diplomatic, security, and economic ties amid Tanzania's democratic backsliding.
The bill responds to the October 2025...
Wakuu,
Nimekaa hapa nimejiuliza benki kubwa zaidi Tanzania ni CRDB, NMB na NBC
Sasa CRDB na NMB wenyewe wako kwenye soko la hisa kwa muda mrefu sana, NMB wako tangu mwaka 2008
Kwanini hii benki ya NBC haiko kwenye soko la hisa?
Kuna siri gani huko kwenye hii benki mpaka haitaki watu...
Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United pamoja na timu ya Taifa ya England, Rio Ferdinand, ameweka wazi kuwa atatembelea Tanzania Mei 19 hadi 22, 2026 kufuatia mwaliko maalum kutoka kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda.
Kupitia ujumbe wake...
Naomba kuuliza Wakuu
Hivi kwanini Tanzania kuna kampuni 28 tu kwenye soko la hisa? Ukienda kuangalia kwenye nchi nyingine kama Afrika Kusini unakuta kuna kampuni kama 200 hivi ambazo watu wanaweza kununua na kuuza hisa
Sasa naomba kueleweshwa kwanini? Hapa Bongo tuna watu kama kina Mo...
Wakuu,
Jamani ni mimi mwenyewe ndo nimeona hivi au kuna wengine pia mmeona?
Yaani siku hizi mtandaoni kumekuwa kama soko la ushauri wa afya. Kila mtu akiamka anajirekodi video akisema "kunywa hiki" au "acha kula kile."
Leo unaambiwa mayai ni dawa, kesho unaambiwa mayai ni sumu. Wananchi...
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Mafuta (EPRA) imetoa kanuni mpya zinazoruhusu wazalishaji wa umeme kuuza nishati hiyo moja kwa moja kwa watumiaji wakubwa, bila kupitia kwa msambazaji wa kitaifa (Kenya Power). Hatua hii inahitimisha ukiritimba wa miaka mingi wa kampuni ya Kenya Power and...
Wakuu,
Hebu naomba tushirikishane.
Mchengerwa alishindwa nini kwenda kununua mkoba wa 200k akaenda kununua mkoba Loui Vutton?
Huu mkoba kama kweli ni wa Loui Vutton maana yake ni Milioni 10 au Milioni 20.
Hiyo gharama inatosha kabisa kwenda kukarabati shule mabati kwenye shule Mapambano...
Mahakama Kuu ya FCT iliyopo Maitama, Abuja, Jumatatu ilitoa hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Nishati nchini Nigeria, Saleh Mamman, baada ya kushindwa kufika mahakamani katika kesi ya ufisadi wa Naira bilioni 31 inayomkabili yeye pamoja na washtakiwa wengine saba.
Kutokana na kutokuwepo...
Serikali ya Shirikisho la Nigeria imepiga marufuku watu waliotunukiwa shahada za heshima kutumia jina la “Dr” mbele ya majina yao katika matumizi rasmi, kitaaluma au kikazi.
Waziri wa Elimu wa Nigeria, Tunji Alausa, alisema kutumia cheo hicho kana kwamba mtu amekipata kupitia masomo rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.