Lakini yako mambo aliweza kuyasema. Tunaomfuatilia, hata angeuawa tungejua mwuuaji wake ni Mwendazake. Sema kwa level yake hawezi kuropoka kila kitu na kumwita mwongo wakati huonyeshi ukweli ni kumvunjia heshima
Nimeishi Arusha, Mwanza, Dar es Salaam, Mbeya, Njombe, Morogoro na kupita mikoa mingi ya nchi hii, mie japo si wa Morogoro, mkoa mzuri kwa mtu kuishi ni Morogoro. Maisha yangu yaliyobakia nitamalizia huko.
Wewe ni member wa hilo group la WhatsApp la Single Mothers? Vinginevyo naunga mkono hoja yako. Wanawake walioshindwa, wakiungana ni sumu kwa kilichowashinda kama wapo wanaweza. Ni sababu ya wivu wao.
Ni kwa vile wameshatuona watz tu wajinga. Wanatuibia kila kona hatulalamiki.
Ukiingia stand kama hotelini, huduma ya Choo ilitakiwa iwe inahesabiwa katika kiingilio chako. Lakini wapi!
Uko sahihi. Hata hizi Daladala, kuna sehemu Daladala tayari nauli zilikuwa juu kuliko hizi zonazotangazwa. Hivyo sasa nao wataongeza tena! Mfano nauli ya Moro - Mzumbe ya LATRA ilikuwa 750 wao walikuwa wanatoza 900 au 1000 na sasa ya LATRA ni 850. Ni kwa vyovyote vile itapanda sana. LATRA hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.