Recent content by Mchosis

  1. Mchosis

    Watanzania tutajifunza kwa makosa hadi lini? Hivi TRC hawa wanaoshindwa vitu vidogo hivi wataweza ku-run SGR yetu effectively & efficiently?

    Huu ni upuuzi na utumwa wa kifikra wa kiwango cha SGR! nani WAMESHAJIZOELEA SHIDA? Kwa hiyo tuendelee kubaki huko kwenye shida? Changamoto zinawekwa wazi ili mamlaka husika ziweze kuzifanyia kazi na si vinginevyo. Tufunguke kifikra
  2. Mchosis

    Watanzania tutajifunza kwa makosa hadi lini? Hivi TRC hawa wanaoshindwa vitu vidogo hivi wataweza ku-run SGR yetu effectively & efficiently?

    ushabiki bila hoja si uungwana. Mwandishi kaanza na kupongeza juhudi zinazofanyika na kisha kuainisha changamoto zinazoendelea kujitokeza ili zirekebishwe na tupate huduma bora zaidi. Sijui Watanzania tunakwama wapi, chaaaa
  3. Mchosis

    Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

    Unaonaje ukatuwekea hapa huo wigo wa waziri na mamlaka ya Rais badala ya kutuambia tu kwa maneno matupu?
  4. Mchosis

    Kuna umuhimu gani wa kuulizana makabila wakati wa kupatiwa huduma za Umma?

    Huyo hakimu lazima atakuwa mwehu tu. Hukumu inatolewa kulingana na ushahidi na sio hisia za hakimu kuhusu mtuhumiwa husika
  5. Mchosis

    Nyongeza ya Mishahara: Ni hisani ya Rais, haki ya Watumishi au ni takwa la kisheria kwa Watumishi?

    Mkuu kama wewe unafahamu, unaonaje ukaelewesha umma badala ya kumrudi huyo asiyejua? GODZILLA,
  6. Mchosis

    Nyongeza ya Mishahara: Ni hisani ya Rais, haki ya Watumishi au ni takwa la kisheria kwa Watumishi?

    Kwa hiyo kama kuna mtu hana ajira, mtu mwingine asipate stahiki zake?
  7. Mchosis

    Ijue historia ya mgogoro kati ya Iran na Marekani

    Kwa sasa anazijaribia Syria huko
  8. Mchosis

    Lissu azuru Kenya, asema hataki wala hajawahi kutaka kuishi uhamishoni

    Taso, What if mwandishi alitaka Tundu Lissu mwenyewe atamkie/ awathibitishie Wakenya kuwa amevuliwa ubunge?
  9. Mchosis

    Lissu azuru Kenya, asema hataki wala hajawahi kutaka kuishi uhamishoni

    Usalama upi? Hakuna mkate mgumu kwa chai. Arudi tu aendelee na majukumu yake
  10. Mchosis

    UBAKWAJI WA TELEZA: Serikali ikomeshe UBAKAJI wa TELEZA Kigoma

    Mkuu sina uhakika kama umetafakari vizuri. Ndani ya post moja unazungumzia mtu kudandia hoja na pia kumsafisha kwa kusema aliandikiwa barua. Sasa kudandia kunatoka wapi kama watu walimtaarifu? Mlitaka akae kimya?
  11. Mchosis

    UBAKWAJI WA TELEZA: Serikali ikomeshe UBAKAJI wa TELEZA Kigoma

    Sasa kama hawana shughuli maalum za kufanya or kuingiza kipato, wanapata wapi nguvu ya kubaka?😂😂😂
  12. Mchosis

    UBAKWAJI WA TELEZA: Serikali ikomeshe UBAKAJI wa TELEZA Kigoma

    Tunasukuru kwa kulipeleka mjengoni. Labda huko litachukuliwa kwa uzito zaidi
Back
Top Bottom