Zamani nikuwa naamini matatizo yetu yanasababishwa na wazungu. Saivi naelewa wazungu wanatumika tu kama kichaka cha watu waliofeli kujifichia. Wakileta hela tunawita wahisani. Tukishindwa kutatua changamoto zetu tunawasingizia wao, wakati huu tukiwaita mabeberu.
Upumbavu wa viongozi wetu ndicho...
Oct. 29 watu wamekufa, siku ya uhuru watu tumefungiwa ndani, Dar es salam jiji kubwa la kibiashara lanye wakazi zaidi ya milioni 7 halina maji, aliyewahi kuwa waziri wa serikali ya JMT Ndg. Mwambe katekwa, waziri wa afya aliye achia kiti hivi majuzi, Jeni, amefariki kifo cha mauza uza etc...
Alianza nasisi vizuri tu. Hata ile Oct 29 aliifanya kuwa siku nzuri kwa makundi yote. Waliotoka na waliotiki. Haikunyesha mvua siku hiyo.
Kisha damu nyingi sana ya wasio na hatia ikamwagwa ndani ya siku hizo tatu. Bila shaka kitendo hicho kilimsononesha na kumuudhi sana.
Usiku wa oct 31...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.