Recent content by Mchawi_mweupe

  1. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Kabla wamisionari hawajaja Afrika na kufundisha kuhusu mbinguni na kuzimu wazee wetu walikuwa wanaenda wapi?

    Kwa nn mungu alichelewa kuwajulisha mapema ??ili wamtumikiee
  2. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Zijue njia mbalimbali za kuzikwa wafu.

    Na sio dini?
  3. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Zijue njia mbalimbali za kuzikwa wafu.

    Hivi kwan nn wakristo hatuzikwi kama yesu alivyozikwa
  4. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Naunga mkono
  5. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya fedha na utajiri

    Nimesoma kitabu
  6. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya fedha na utajiri

    Utangulizi Watu wengi wanachanganya fedha na utajiri wakifikiria ni kitu kimoja,lakin ukwel ni kwamba mtu anaweza kuwa na fedha lakin asiwe tajiri. Tofauti kati ya fedha na utajiri Fedha ni kiasi cha pesa mtu ambacho anatumia kila siku kwa mahitaji mbalimbal,lakin utajiri ni jumla ya vitu...
  7. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    kupata elimu yake ya msingi na sekondari katika shule mbalimbali za Tanzania. Alihitimu kutoka shule za msingi na baadaye shule za sekondari ikiwemo Old Moshi Secondary School. Baada ya hapo, alisomea Diploma ya Usimamizi wa Wanyamapori katika Mweka, kisha Shahada ya Sayansi (BSc) kutoka Chuo...
  8. Mchawi_mweupe

    JamiiForums Tanzania Kozi 5 zenye fursa nono Tanzania kwa miaka 5 ijayo: mwongozo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu

    Wanafunzi wengi wanaoingia vyuoni hujiuliza: "Kozi ipi itanipa ajira au fursa nzuri baadaye?" Katika mazingira ya sasa ya Tanzania na dunia kwa ujumla, hizi hapa ni kozi tano zinazotabiriwa kuwa na nafasi kubwa kwa miaka mitano ijayo 1. Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) Kadri Tanzania...
Back
Top Bottom