Recent content by mcharge

  1. M

    Helsb au Rais Samia nani muongo?

    Wewe umeongelea Degree, point ipo apo ndugu.
  2. M

    Helsb au Rais Samia nani muongo?

    hii so kauli ya kisomi hauwezi kudharau elimu za watu
  3. M

    Hatua kwa hatua hadi Leirvik - Norway, kwa wanaotaka kufika Norway nitawaeleza hapa

    Vipi fani gani zinalipa uko au ata kama kuwa mbeba mabox unaweza pambana
  4. M

    Jinsi biashara ya spea za bajaji na bodaboda inavyoweza kukulipa

    Hii biashara inalipa, kwa sasa maeneo ya morogoro road uwakika Mbez-kimara ayo maeneo ukipata safi mi mwenyewe namiliki, Bajaj 2 zipo Mbezi
  5. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mrejesho utakuja tuu kiongozi tuombeane uzima
  6. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Pamoja kiongozi ila kwa saizi np Dar ntafanya ivyo
  7. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Ni kweli kiongozi ila tusibase sana kwenye secta moja tu tupeane Update hata kwenye ishu za Madini tujuwe chimbo wapi na niaina gani ya Madini inapatikana natanguliza shukrani wale wadau waje watujuze
  8. M

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Wadau uzi umekuwa wakunivutia na mimi nahitaji connection za wapi kwenye Minada ya Ng'ombe kwa mikoa kama Vile Dodoma,Morogoro,Pwani au Tanga kwa kuanzia tupeane Update
  9. M

    Mwongozo bora na vitu vya kuzingatia katika kuanzisha kuku wa mayai

    Asante kwa ufafanuzi wako mzuri kiongoz
  10. M

    Mwongozo bora na vitu vya kuzingatia katika kuanzisha kuku wa mayai

    ...Na kuna mda alishawai kuniambia kuna mbegu ya vifaranga vya kuku inauwezo wa kutaga mara mbili kwa siku ni kweli kuna mbegu kama iyo na inaitwaje
  11. M

    Mwongozo bora na vitu vya kuzingatia katika kuanzisha kuku wa mayai

    Kingozi naona unatoa somo zuri la ujasiriamali na mimi nataka niingie kwenye uwo ufugaj. Changamoto zangu kubwa ni aina ya mbegu bora ya vifaranga vya kuku wa mayai na kampuni gani zinatowa Vinatowa mbegu bora
  12. M

    Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Ni Pm nikupe maelekez vizuri Ila CRDB ndo kila kitu
  13. M

    Biashara ya ng'ombe wa nyama

    Sasa tutaenda kufanyia biashara wapi Tz ya kwetu sote ha ha ha.........
Back
Top Bottom