Wanajukwaa naomba tujuzane ili kwa anayefahamu kuna izi PC sina akika kama ni za kisasa au vipi
Zenyewe ni za chrome.
yaan kama ni hp basi HP chrome au lenovo chrome.
Inasemekana ukitaka kufanya window installation ni lazima ufanye ukiwa online na hata designer ya window yake ni tofauti na...
nimekuwa nikitafutwa na wengi na nimefanikiwa kuwasaidia maana nina sample za muhtasari zote za mahakamani na rita
kwa wanaofutilia mirathi wakae wakijua mahakama itahitaji muhutasari za vikao vya familia zisizopungua tatu zote zikiwa na mahudhui tofauti
hivyo basi kwa vile nimewahi kufanya...
Mi nafikiri inshu ya bando kukatwa sana uwa kunategemea network speed nachokifahamu na uwa naki-observe speed ya mtandao ikiwa kubwa na rate ya bando per second uwa kubwa mi uwa nadownlod sana movie asa wakat wa usiku network speed inafikaga 2 MB per second ten uwa inafika adi 2 point something...
yaan hapa kweny task bar kuna iki ki-icon cha kuconnect na internet ambacho nikikifinya kinanipa option mbil ya hii moderm nayoitumiaga na na broadband connection ambayo nais ndo hii ya njia ya USB
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.