MCHARANGO JM
Member
- Dec 30, 2018
- 44
- 11
- Thread starter
- #21
Mi nafikiri inshu ya bando kukatwa sana uwa kunategemea network speed nachokifahamu na uwa naki-observe speed ya mtandao ikiwa kubwa na rate ya bando per second uwa kubwa mi uwa nadownlod sana movie asa wakat wa usiku network speed inafikaga 2 MB per second ten uwa inafika adi 2 point something per second tena ni 3G vpipi kama simu yako inasupport 4G si ni balaa tupuKwanini nikiwa kwenye Wasap web bando linaisha sanaaa tena kwa speed
Hapo inakuwejeee...? Baada ya kuunga Wifi kwenye pic yangu kutumia smartphone.
Pia na simu inapata sana motom.
alafu pia nafikir kitu kingine labda kila app ina principlez zake za namna ya kulima izi MB maana ata insta nao wapo vizuri kwa kupiga bando
lakin kiongozi hapo inshu kubwa ni network speed yaan kama simu yako ina support 4G na eneo ulilopo na sim card ya mtandao unaotumia pia ni 4G
hapo we tengeneza ratiba ya kununua bando kila siku