Kukosa hela ni changamoto wakuu...sijawahi kuona tajiri anaomba kanisani mpaka mate yanamluka..ila maskini wana maombi mengi tena yaliyojaa malalamiko tu.,mtu mwenye hela zake hawezi kuwa confused na vitu kama ivi.
umesema walikuwa adam na eva tu..ivi kaini alienda kumuoa nan kule nchi ya nodi,? dunian walbak watatu tu baada ya habili kufa, yaan walbak adam,eva na kain kabla watoto wengne kuzaliwa. kaini alpata wapi mke?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.