Tena shikamoo kubwa sana kwake..
Cheo alichoruka ni kimoja tu ambacho ni Lieutenant General kwenda General.
Vyeo vingine vyote kavitumikia kimajukumu na kwa weledi mkubwa.
Yesu alitundikwa kwenye mti akiwa uchi kabisa..yaani alikufa kifo cha mateso makali,aibu kubwa na dharau iliyopitiliza.
Ndo maana wanaoamini jina lake na damu aliyomwaga kupitia kifo chake pale kwenye mti wa msalaba wanapata neema ya utakaso na pia uzima wa milele.
Waliamiminio jina lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.