Habari zenu..
Nakopesha pesa kwa riba.
Riba ni asilimia 10 kwa mwezi.
Mkopo ni wa muda mfupi ambao hautozid mwezi mmoja kulingana na kiasi cha pesa.
Wafanyabiashara wadogo na wafanyakazi walioajiriwa ndo wanaoweza kukopesheka.
Dhamana ni lazima.
Kha sikushaur kukopa bayport hata tunakopesha ltd...kwann usingejiunga vicoba then baada ya miez kadhaa unakopa pesa kulingana na hisa ulizonunua..riba ni asilimia 5 kwa mwaka...kha uchum ulivokuwa mbovu si salama kukopa huko bayport wana riba kubwa sana...maana utakjwa unalipa mkopo bila faida yyte
Dah kwanza utakopaje pesa ya kuanzia maisha ya kupanga na wakati unaweza kukaa home kwanza kwa wazaz halaf hyo pesa ufanyie biashara na ikikua ndio utoke hapo nyumban ukapange. Mimi ninafanya kazi sehem nzur tu na nina mwaka wa 2 tangia nimeanza kazi, na mshahara wangu ni mzur ila siwez kuhama...
kuna kijana namfahamu mara nyingi huwa ananibeba na pikipiki yake, aisee anaingiza pesa nying sana kuliko anaefanya kazi ofisin na hana makato ya mfanyakazi, nikaja kugundua kuwa ana nidham na kazi yake na anajenga uhusiano mzur na wateja wake kias kwamba mteja akishuka tu kwenye gari anamtafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.