Recent content by Mchajikobez

  1. M

    Kurejea kwa Mike Iron Tyson ulingoni Mwezi ujao

    Hapa ungeandika anarusha bashite au kolomije ingekuwa powa sana
  2. M

    Hotuba ya Mbowe, ni dawa ya kutibu misuli ya moyo

    Wewe utakuwa ulisikiliza kwa kutumia matako ukatafakari kwa kutumia pua
  3. M

    Jirani anishangaza kwa matumizi yake ya Internet

    Embu kadanganye chekechea,sasa kama yeye alikuwa na simu tena yenye bando,ilikuwaje asiangalie hiko kitu kwenye simu yake hadi akaamua kuwasha hot spot ili aangalizie kwako,kwenda huko
  4. M

    Taja kitu kisicho na ukweli ila watu wengi wamekariri ni ukweli bila ushahidi

    Hata ukiweka mchanga itafanya hivyo hivyo,na ukitaka kujua watu wajinga soda ikiwa inagesi mnahangaika kuitoa,ikiwa haina gesi mnasema soda imeharibika
  5. M

    Taja kitu kisicho na ukweli ila watu wengi wamekariri ni ukweli bila ushahidi

    Ukitaka kuamini uchawi upo ni pale unapomtaka demu fulani unahangaika kumuomba mtoke mnatoka anatumia hela yako yote ya vikoba mnaagana ndio unaanza kukumbuka kwamba kumbe hela imekata,huo ndio uchawi
  6. M

    Taja kitu kisicho na ukweli ila watu wengi wamekariri ni ukweli bila ushahidi

    Ufunguo una matumizi mawili kufungua na kufunga,ukiona unaelimu alafu haujafanikiwa kimaisha basi ujue uliitumia funguo yako kufungia maisha sio kufungulia
  7. M

    Taja kitu kisicho na ukweli ila watu wengi wamekariri ni ukweli bila ushahidi

    Wazungu ni mabeberu,lakini Ndugai akiumwa anaenda kutibiwa kwa wazungu
  8. M

    Usijisumbue kuonyesha ufundi, kama hana amani ya moyo ni lazima uchapiwe tu

    Hatukuletwa chini ya jua kuburudisha watu,kama hana hisia anagongwa alale
Back
Top Bottom