Embu kadanganye chekechea,sasa kama yeye alikuwa na simu tena yenye bando,ilikuwaje asiangalie hiko kitu kwenye simu yake hadi akaamua kuwasha hot spot ili aangalizie kwako,kwenda huko
Hata ukiweka mchanga itafanya hivyo hivyo,na ukitaka kujua watu wajinga soda ikiwa inagesi mnahangaika kuitoa,ikiwa haina gesi mnasema soda imeharibika
Ukitaka kuamini uchawi upo ni pale unapomtaka demu fulani unahangaika kumuomba mtoke mnatoka anatumia hela yako yote ya vikoba mnaagana ndio unaanza kukumbuka kwamba kumbe hela imekata,huo ndio uchawi
Ufunguo una matumizi mawili kufungua na kufunga,ukiona unaelimu alafu haujafanikiwa kimaisha basi ujue uliitumia funguo yako kufungia maisha sio kufungulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.