Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani.
Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa...
Bado baadhi ya wanaume wanashindwa kupima afya zao wakitegemea majibu kutoka kwa wenza wao.
Hali hii imekuwa ikiwaumiza wanawake wengi hasa wanawake wajawazito bila ya kujua wafanye nini Ili kuwafanya wenzao wao wawe na muamko wa kupima afya zao.
"Nilipomuambia mume wangu inahitajika mimi na...
Kuna tabia ambayo imeshika kasi kwa baadhi ya maafisa habari binafsi na hata wa Serikali.
Wanapoandaa matukio yao mara nyingi huwa wanavyombo vya habari ambavyo wamevialika, anapofika Mwandishi wa Habari ambaye hayuko kwenye orodha yao wengine huzuiwa kuchukua matukio Kwa kigezo kwamba hawako...
Wakazi wa wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwawekea matuta ya barabarani hasa kwenye njia panda ya kuingia Shule ya Msingi Bahi sokoni na mitaa ya Nkungugu na Kibaoni wilayani humo.
Mwananchi mmoja wilayani humo anasema ndani ya siku 21 kwa nyakati tofauti watu wanne wamepata...
Sina majibu kamili lakini ni Jambo la kushangaza. Kuna Hali ambayo imekuwa ilijitokeza kwa baadhi hospitali zetu za Serikali na binafsi napata mkanganyo.
Msichana mmoja alikuwa akiumwa sana, alipopelekwa moja ya hospitali aliambiwa kwamba hakuna anachoumwa zaidi ya kumpa Panadol tu. Hali yake...
Vitendo vya ulawiti vimeendelea kujitokeza katika maeneo mengi hapa nchini Tanzania. Licha ya Serikali na wadau mbalimbali kupiga kelele kuhusu vitendo hivi bado vimeendelea kushamiri kwenye maeneo yetu.
Vitendo hivi vinapotokea wazazi/walezi wamekuwa na tabia ya kufumbia macho kwa kutokutoa...
Mara kadhaa Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa usalama barabarani wamekuwa wakihimiza madereva bodaboda kuvaa kofia ngumu (helmet) wawapo barabarani Ili kuwanusuru na ajali zinapotokea.
Licha ya kuhimizwa baadhi ya madereva bodaboda Dodoma wamekuwa ni kama sikio la kufa lisililo...
Kumeibuka tabia ya baadhi ya wakatisha tiketi za kieletroniki kwa mabasi yaendayo mikoani kupokea pesa tofauti na ile inayokatwa kwenye tiketi.
Kulingana na bei ya nauli za mabasi yaendayo mikoani iliyotolewa na SUMATRA mwezi Januari 2023 inaonesha kuwa kutoka Dodoma hadi mkoani Morogoro nauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.