Recent content by Mchaga Boy

  1. Mchaga Boy

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Yani yote huja baada ya kutajwa kua anauza madawa yakulevya?? Kama unalijua hili mbona hukusema mapema
  2. Mchaga Boy

    Bunge linalinda maslahi ya nani kwenye sakata hili la dawa za kulevya?

    Sifikilii kama alicho fanya makonda nikibaya nyinyi unae sema gorofa ooooh alienda marekani pesa katoa wapi haya yote mmeyakumbuka baada ya yeye kutaja wauza Dawa za kulevyo?
  3. Mchaga Boy

    Waumini wa Gwajima waweka kambi nje ya kituo cha Polisi, waanza kutumbuiza

    Wange turia tu majumbani sheria ifuate mkondo wake
  4. Mchaga Boy

    Wanaume Nani kawaloga.?????

    Nikweli ipo hivyo lkn umeangalia na upande wapili? Mana nimegundua kitu kimoja mwanamke akiwa kimada anaheshima sana kuliko Ukisha muoa anakuwa nadhalau kwakua ameshapata ndoa
Back
Top Bottom