mkubwa nakubaliana na wewe kabisa, coz pure grain ya ccm lazima iwe na sifa zifuatazo, ufisadi, rushwa, mtu wakupenda kusifia madudu yanayofanywa na ccm, muongo, asiyependa haki, anayejali maslahi ya mabwana zake kuliko watanzania wavuja jasho. sasa haya unayouaita makapi ni wale wenye sifa...