Nawasalimu ndugu zangu nkiamini ni wazima wa Afya,Mimi ni mwanafunzi wa Mwaka wa kwanza chuoni ni nimekumbana na hii hali ya kwenda kujitaftutia NOTES pekee yako,sasa Ma Leturer wamekuwa wakitupa vitini vyenye reffernce ya vitabu tofauti sasa kuachana na library Je kwenye Internet ni mamna gani...
Wakuu nimewaelewa sana sana sana nitajitahidi nijaribu kukaa mby naye kama nikiweza mm mwenyewe nitafrahi sna ingawa nishajaribu nikashindwa then lemme try again, coz siwezi jua kwann ananifanyia hivi mm nimeshindwa kumwelewa. Lkn wakuu kama angekuwa hanipendee at all si asingekuwa anajibu hata...
Sasa ndugu wat should I doo nampenda sana nifanye nn. Kweli ningekuwa na uwezo wakumpotezia ningeshafanya hvy sku nyng sana
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ndugu zangu nilikuwa shida na nikiamini kbs kwamba nyinyi ndugu zangu mnauwezo wakunisaidi,Naam jamni mm nilitokea kumpenda sana msichana flani amby nimeshindwa kumwelewa hadi sasa kwani niliweza kumwambia kile nilichokuwa nakihisi ktk moyo wng na aliniambia kuwa nimechelewa ila skukata tamaa...
Wakuu natumaini mpo wazima na kuendelea kufanya vzr ktk shughuli za kujinge Taifa letuu, naam nilikuwa na tatizo nililoshindwa kuelewa kbs japokuwa nimejaribu kufanya utafiti sehemu mbl mbl but bado cjapata jibu la kunirizisha kbs, kutokana ma matokeo ya darasa la 7 kutoka na watotot wamekuwa na...
Sawa mkuu I knw nafanya makosa but sasa hakuna asicho kijua kama angekuwa mtoto asingekuwa tayari kwenye Mahusiano,kaka kusema ukweli so mm tena mm so kwamba nipo unavyo fikira nimempita mwaka Mmoja tuu na sahv nipo chuo mwaka wakwanza na yy ndo amemaliza 4m4 mm sione kama kuna mtoto hapo...
But sasa je kama ananipima kama na mpenda kweli coz kama nikisema nisimtxt kila saa si ndo ataona kama simpendee?? Au I'm wrong?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ndugu zangu ninahitaji ushauri kabla sijafanya maamuzi yoyote,Kuna msichana nilitokea kumpenda sana,nilishawahi mtongoza ambyo hiyo ilikuwa mara ya kwanza ila alinitagaa kwakusema "sitaki mazoea na ww na ukiendelea kunifatafata nitamwambia Mama" kweli nish2ka sana kusikia mambo ya mama but...
Daviedanny from AII,all I can say is tha "every single movement,step their must be some challenges on it " hvyo basi bale mtu au sehemu flni unapokutana na changamoto na kufanikiwa kuzishinda ndipo unapokomaa kiali na uwezo wakutatua matatizo hvyo basi CDM ndipo chama kinapo komaa kwakulutana ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.