How to have her Attention???

How to have her Attention???

Wewe acha kuwasiliana nae usimtafute tena nakwambia ukikaa kimya atakitafuta weww na ukiona hajakutafuta hakupendi so chapa lapa
 
Wakuu nimewaelewa sana sana sana nitajitahidi nijaribu kukaa mby naye kama nikiweza mm mwenyewe nitafrahi sna ingawa nishajaribu nikashindwa then lemme try again, coz siwezi jua kwann ananifanyia hivi mm nimeshindwa kumwelewa. Lkn wakuu kama angekuwa hanipendee at all si asingekuwa anajibu hata txt zangu basi wala mazoea na mm angekataa ila ukimweta anakuja ukimtxt anajb tuu yani haelewekee. Kweli kupenda imekuwa weakness kubwana sana kwangu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ndugu zangu nilikuwa shida na nikiamini kbs kwamba nyinyi ndugu zangu mnauwezo wakunisaidi,Naam jamni mm nilitokea kumpenda sana msichana flani amby nimeshindwa kumwelewa hadi sasa kwani niliweza kumwambia kile nilichokuwa nakihisi ktk moyo wng na aliniambia kuwa nimechelewa ila skukata tamaa jmn toka mwezi wa kwanza pale nambembeleza tuu na nilikuwa nafanya hvy kwasababu niliona kama so kwamba alikuwa hanitaki bali alikuwa haniamini ndo maana skukata tamaa sasa mapema mwezi huu ameniambia hapende kuniona naumia na amesema kuwa ananipende ila hanipendee kama anavyo mpendee hyo aliyeniwahi yani wote anatupenda kimapenzi ila yle wa kwanza ndo anampenda zaid, sasa juzi baada yakuniambia hvy kuwa apende kuniona naumia amenikubali kwakusema anatupima nani anampenda zaid amby hata cheza na hisia zake,hvy basi sasa tupo kwenye vpimo na ninafanya kila niwezalo aone kuwa nikweli nampenda, ila naona kama hya yte ninayo yafanya hayatoshee kwani smwelewe amekuwa na mapozi sana Je nifanye nn ndugu zangu Ile nipate attention yake kwangu kwann jmn nikweli nampenda sana sana jmn. Nawakilisha wakuu,,,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Astagafilullahh!!!!! Acha kutudhalilisha wanaume:angry::angry:
Hebu nicheck PM
 
Wewe acha kuwasiliana nae usimtafute tena nakwambia ukikaa kimya atakitafuta weww na ukiona hajakutafuta hakupendi so chapa lapa
Mi nakubaliana na wewe, ukimchunia siku tatu tu utasikia tu jamabi viipi unaumwa... mbona kimya! Change your strategy, you are too pedictable. Yaani huyo kashajua asubuhi gmorning ipo, mchana umekula baby lol (sijazipataga hizi skunyingi miee), jioni mzee umo, bado nini... kadi ya atm
 
Back
Top Bottom