Recent content by Mcdad

  1. M

    Kesi ya Sugu: Mabishano makali yaibuka mahakamani juu ya ushahidi

    mawakiki wanakataa ushahidi wa sauti namkumbuka Nassari na TAKUKURU hapa
  2. M

    Watanzania wapenda amani tuzisusie kazi za Babu Seya na mwanae Papii Kocha

    mmmh leo ndo tumegundua kwamba walikuwa wabakaji c tulisema wamefungwa kwa hila za serikali hawa
  3. M

    Rais Magufuli aagiza kubomolewa kwa Makao Makuu ya TANESCO na Wizara ya Maji, kupisha ujenzi wa barabara Ubungo

    Ila me nimesikia ni jengo la Rostam Azizi. Wananchi tumefurahi coz tumeona kumbe kuwa ni ofisi ya serikali haiwezi kuwa ticket ya kuvunja sheria km wananchi wengine wamevunjiwa kwa maelezo majengo yao yapo ndani ya hifadh basi na jengo hilo livunjwe coz nalo lipo ndani ya hifadh
  4. M

    Prof Kabudi: Ufafanuzi kuhusu makubaliano kati ya Serikali na Barrick

    Acacia ni mzigo wa barrick coz haijasajiliwa popote hapa nchini na ndo mana hata kwenye mazungumzo haijajumuishwa kwa namna yoyote
  5. M

    Hivi mke wa Rais analipwa mshahara?

    kwasababu huwa haruhusiwi kufanya kazi yoyote zaidi y za mumewe au kujitolea xo wanampa mshahara kwa kumzuia asifanye shughuri zake zingine za kumuingizia kipato chake
  6. M

    Joshua Nassari kuweka ushahidi wa madiwani kuhongwa hadharani!

    uwiiiii njoo uliamshe baba sio kila siku ushaidi tunao lkn hautoki analudi lini jaman
  7. M

    Kama Nairobi wamesema wametoa risasi nane kwa Lissu, lengo la madaktari wa Dodoma kutoa tano ni nini?

    mmmmh!!! pamoja na uelewa wangu mdogo ktk haya mamb lkn hii ni pumba zaid
  8. M

    Ni ukomo wa bunge sio urais, BAVICHA na UVCCM tuwe na akiba ya maneno

    ndo mana kukawa na ombi la kubadilisha kifungu cha katiba ili kutenganisha hizo chaguzi #uelewa wangu
  9. M

    Ripoti za Madini: Tundu Lissu amuwakia Spika Ndugai

    Ile ripoti imepokelewa na spika wa bunge lakini haikuwa ndani ya bunge pale ni nje wazee ndo mana kulikuwa na watu wengine ambao c wabunge pale Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Upinzani waruhusiwa kukagua mitambo ya tume ya uchaguzi Kenya

    Tatizo wapinzani wa huku ni wanafiki sana coz wao matokeo ya vituo vyote wanakuwa nayo kabla hayajafikishwa tume kwanini akati mwenyekiti anatangaza matokeo feki wasiende mahakaman wanasubir mpk mtu ametangazwa mshindi ndo wanasema hatukubaliani na matokeo akati nafasi ya kwenda mahakamani...
  11. M

    Application inayotoa mkopo direct kwenye simu yako kupitia M-pesa.

    Tala inatakiwa uwe na tigopesa tu branch ndo unatumia lain kati ya tigo au voda ila tala ni wepesi zaidi kutoa mkopo kuliko branch Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Richmond: Watanzania tulimlipa Lowassa Mil 150 kila siku...

    Aliyekutwa na ngozi ndiye aloiba ng'ombe hlf kosa halifutwi kwa kosa lingine Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Hivi ndivyo Lowassa alishiriki Richmond

    mwizi akiwa ccm akija chadema shujaa #siasa# ujinga wa akili za kushikiwa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom