Recent content by McAndrew

  1. M

    JamiiForums Tanzania Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Mkuu pole sana Mimi niliwahi ingilia msafara wa mama kizi mkaxi akuwa ni DP Nakumbuka alikuwa anatoka morogoro wakaniacha mita kama 200 Tumetoka chalinze kufika kibaha nikakuta gari moja ipo njiani kilichofuata ni kuwekwa lock up mungu saidia kuna walio unga bodi nyuma From that date to date...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, tatizo la Stroke linaweza kupona?

    Mkuu pole na majanga Kwa experiance ambayo niliipata kwa wazazi wangu wawili ambao wote walipata stroke kwa nyakati tofuti Ni kuwa inatibika ukiiwahi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Sababu ya kusema neno ‘Hellow’ kwenye simu kabla ya maongezi

    Kwahiyo before ya kupata hiyo access ya mawasiliano, hao watu wengine alikuwa anawasalimiaje, hapa ndipo tunapojua kuwa bongo ni kisiwa cha fix sana Hellow is a form of greeting used by a hyper-active person in The Netherlands. Pia unaweza search na kujua maana yake na siyo hiyo wewe...
  4. M

    JamiiForums Tanzania CCM kumruhusu Lusinde atukane mmejiponza na kuruhusu "shujaa" aoge kashfa bila huruma

    kwamba wewe hutokufa,naona unajiona malaika,acha uzwazwa ,wewe mimi wote ni marehemu ipo siku utafunga kinywa tafakari ndugu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

    Umenena vyema kaka, ni mtu fulani anayelazimisha kujulikana
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi mgombea wa CCM atafikisha hata 40% ya kura kweli?

    mkuu unaonaje matokeo,pole ndugu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nashangaa Jumuiya ya Kimataifa wanasubiri nini kuhusu Rais Magufuli na utawala wake?

    Subiri dawa iwaingie si mlikuwa mnasema asubuhi mnaingia ikulu sasa mnaanza jumuiya ya kimataifa,mkuu fuatilia hata huko unakokuita ndio utajua siasa sio sihasa,tulizeni vipwago power safe iwaingie vizuri CD4 zipande hahahhahahhaa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    na watawatukana sana ,mkuu nimegundua chadema ni mbwembwe tu amfifiro kidogo tu imewaondoa
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

    Ningekuwa sijasoma nisinge jibu,inaonyesha ni kiasi gani mawazo ako na mtazamo wako ulivyo,kitu ambacho vijana wengi wa chadema ambacho mnacho ni stupid mentality, thinking capacity yenu ni ndogo sana ,mnapenda kuwa driven na emotional
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

    soma maandiko uelewe,kama hujui kaa pembeni
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

    wewe unayejua maandiko hebu fafanua,acha kuwaza kwa matako ndugu
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

    Biblia husema,kabla hujatoa boriti kwenye jicho la mwenzako, basi toa kibanzi kilicho jichoni mwako, Biblia husema tii mamlaka iliyopo maana ina kibali na Mungu,kila mamlaka ina makusudi yake mbele ya Mungu, hivyo yeye kama askofu hana mamlaka ya kushindana na Mungu, yeye ni binadamu tu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aenda alipozuiliwa Lissu kumtia nguvu

    wewe je unaijua pentagon
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Magufuli amka Lissu ameshapita tatizo hukuona hata vumbi

    mimi pia nitaongeza ya kwangu audi TT,kama alishindwa lowasa aje huyu
Back
Top Bottom