Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,673
- 26,990
Bado mnaongozwa na myths za kidiniš¤? Mungu angekuwa na mawazo kama ya binadamu watu tusingekuwepo mpaka leo.Badala ya kushughulika na dhambi zako,unashupalia dhambi za wenzako.Vizuri..
Pia naskia Kuna ALBADIRI tayari imesomwaš
Hapo ni kila mmoja kuchunga HATMA yake na uzao wake. Ukitekeleza maagizo ya kihuni ya watawala, inakula kwako na uzao wako
Eti ALBADIRI šš, upuuzi tu.