Kwa msiojua na mnaoshangaa UTT haipo sana agressive kutafuta faida kubwa ila wanaplay safe ndo maana wanarange kwa faida ya 10-13% PA ila kwa hisa hususani za CRDB kuna zaidi ya hapo nitatoa mifano michache kwa wepesi kabisa ili nieleweke.
Binafsi ni mwanahisa wa CRDB kwa miaka kadhaa sasa na...
Ukijua kiundani viwanda vya magari HOWO anahitaji miaka zaidi ya 50 ndo ajaribu kuanza kupambana na SCANIA.. Traton Group ndo anamiliki SCANIA ila pia Traton na subsidiary ya Volkswagen Group.
Hizi Scania nyingi zinazotumika Tz ni used lakini bado unakuta jiko linaita na kwenye route Ndefu na...
Kutangulia kupata elimu na kutoridhika na mafanikio madogo kunawafanya wachagga waendelee kuwa mbele katika masuala kama haya.
La msingi ni kujifunza kwa aliyekutangulia bila kujali kabila,dini wala sura. Laiti kama kila kabila lingekua kama walivyo hawa wachagga naamini maendeleo...
Ndani ya miaka mitano ijayo kiasi kama hicho cha faida kitaingizwa na Bank moja sio sector nzima. Mazingira rafiki ya biashara ndo kilichohitajika. Subiri shida za Russia na Ukraine zipo mfumuko wa bei urudi chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.