Kutangulia kupata elimu na kutoridhika na mafanikio madogo kunawafanya wachagga waendelee kuwa mbele katika masuala kama haya.
La msingi ni kujifunza kwa aliyekutangulia bila kujali kabila,dini wala sura. Laiti kama kila kabila lingekua kama walivyo hawa wachagga naamini maendeleo...
Ndani ya miaka mitano ijayo kiasi kama hicho cha faida kitaingizwa na Bank moja sio sector nzima. Mazingira rafiki ya biashara ndo kilichohitajika. Subiri shida za Russia na Ukraine zipo mfumuko wa bei urudi chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.