baada ya kukosa chuo round ya kwanza hadi ya tatu hatimaye nmepata katika round ya nne kwa kozi ya Bachelor of education in early childhood lakini siamini kama inafursa ya ajira kama ilivyo kwenye kozi za afya hivyo naona bora nikasomee diploma ya Clinical office ushauri wenu tafadali
Plz dikai nipe source nihakiki maana kuna mtu alinijuza kuwa shinyanga first year tutaripoti tarehe 20 et! halaf kuna chuo flani cha ualimu pia nilijuzwa et kitafunguliwa mwezi january mwakani sasa ndo maana bado ninautata nisaidie tafadhali
Wakuu mwenye info.. za shinyanga teachers college hasa kuhusu tarehe ya kuripoti na joining instruction atujuze pia "natanguliza shukrani kwa mwenye msaada"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.