TLS sio chama cha siasa,nichama cha wanasheria,kinaongozwa na katiba yakwao wao wanasheria bila kuvunja sheria za nchi,,kutokana nahilo ningeomba watu wote ambao sio wanasheria ila mmepewa midomo yakuongea kama bashite muwaachie wanasheria wamchague wanae mtaka kama nilisu sawa kama mwingine poa