Ni account gani ys cloud ambayo naweza fanya back up ya picha na namba za sim pia nika ifungua kwenye computer yangu ns ku brouse data zangu na kuzi print
Nina simu ya samsung galax s4.. hii simu tangu naanza kutumia huwa inapata moto sana hasa wakati na browse kwenye net ns wakati naongea sijui kams nikawaida au ni tatizo la kiufundi naombeni udhauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.