Simu kupata joto

Betri nayo inakaa na chaji muda gani??
Ttzo linakuwa ktk betri.
Hata mimi hlo ttzo lilinipata but baada ya kuambiwa ni betri, nikabadilisha. Sasa hivi iko poa


Yaani mkuu haikai na chaji.

Labda naweza pata wapi betri ya hii simu? Nikisoma kwenye mtandao naona betri yake ni 2000mAh na iliyopo kwa sasa kwenye simu ni 1730mAh inawekana tatizo linaanzia hapo.
 
Asante kwa maelezo mazuri,nina ka huawei p1 nimekanunua mchana wa leo kenyewe kanapata moto afu maandishi yanatetemeka mda fulani,kumbe ni kawaida mwe !!()
 
Kawaida ya simu nyingi hasa hizi smartphone huwa zinapata moto nilikuwa na Samsung galaxy captivate ilikuwa inapata moto sana..
 
Ninatumia simu aina ya HTC Evo 4g.
Inachonishangaza ni kwamba nikiingia net baada ya dakika tano tu, inapata moto sana huku nyuma usawa wa kamera.

Ninachoomba kufahamishwa ni kawaida kwa adroid zote au hizi htc tu?

Unatumia Airtel nin mkuu?
 
Mi nilijua simu yangu mbovu....natumia Huawei Y300 inapata moto si mchezo ikiwa kwenye charge na hasa napoitumia..
 
Je,ni simu mpya? ina.muda gani tangu uinunue? mimi nilinunua Xperia mwezi wa 9,yenyewe ilikuwa haisubiri uingie internet,hata kama unasikiliza muziki inakuwa ya moto kama italipuka muda wowote. Nili browse kwny webs na blogs za Sony kutafuta suluhisho,wakasema ni hali ya kawaida kwa simu mpya,kwani software yake bado inajizoesha na matumizi,wakasema baada ya muda itaacha. Sasa huu ni mwezi wa tatu,sioni tena hivyo vijimambo,hata betri ilikuwa inaisha haraka sana. Sasa hivi iko poa. Ni hali ya kawaida kwa simu za Android hasa zile ambazo betri ni non removable.

Natumia Huawei y300 mpaka naiogopa inapata moto nikianza tu kuitumia....ni mpya nimenunua mwezi november....
 
Haya masimu ya h.t.c m cjayakubal kiviile ..juz kati nilinunua moja ikawaka afu ikashindwa kuprocess mbele ...majanga 2..samsung ni mwisho jamaniiii
 
ngoja nikuitie huyu mtalaamu akusaidie kidogo best Young Master hebu msaidie huyu mtu hapa
Ninatumia simu aina ya HTC Evo 4g.
Inachonishangaza ni kwamba nikiingia net baada ya dakika tano tu, inapata moto sana huku nyuma usawa wa kamera.

Ninachoomba kufahamishwa ni kawaida kwa adroid zote au hizi htc tu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom