dada kwa maelezo ya makala hii inaonesha kwamba huna siri katika chama, hukupaswa kutueleza haya sisi bali ilikupasa uyatoe ndani ya NEC CHADEMA.Kwa namana hii inaonesha unatoa hata SIRI YA NDOA YAKO AU MPEZI WAKO.Si busara kufanya hivi,kumbuka "KUFIKIRI NI BUSARA ZAIDI KULIKO KUTENDA"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.