Ndugu zangu rushwa imepamba moto kuhusu rist kwa wateja ambao wananunua mizigo bila kupewa rist ya efd naomba vyombo husika viingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa sheria za kodi ya nhi yetu ni copy & paste kitu ambacho ni tatizo wawe wanaangalia hata uhalisia wa maisha ya mtanzania.
Kungekuwa na uwezekano ningeomba serikali ya awamu ya tano iangalie suala hili kwa jicho lingine na kufanyia marekebisho baadho ya vipengele vya sheria za kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.