Suala la Serikali mbili linatoka wapi kwenye hii rasimu itakayojadiliwa na Bunge La Katiba? Tume imetayarisha rasimu mbili za Katiba baada ya kupokea maoni ya wananchi na wadau mbalimbali. Rasimu zote mbili zimezingatia mapendekezo yaliyotolewa na wananchi walio wengi likiwemo suala la Serikali...
Nimekuwa nasikia kutoka kwa wanasiasa mbalimbali kuwa Bunge la Katiba litajadili pendekezo la CCM la Serikali mbili. Wengine wana wasiwasi kuwa kwa sababu wajumbe wengi ni CCM, inawezekana pendekezo la Serikali mbili likapita.
Aidha hawa walio na mawazo ya Serikali mbili wanapotosha wananchi...
Sasa kama sababu zenyewe zinajulikana nje nje, wa kulaumiwa ni hawo Maprofesa wanaotoa hizo taarifa za awali au ni Waziri Mkuu aliyeamua kuunda Tume kwa kitu ambacho majibu yanajulikana.
Kama kwa miaka 50 chini ya Chukua Chako Mapema (kwani rasilimali hazina mwenyewe au mwenye uchungu nazo) hali ndiyo hii, kwa nini tusijaribu sera nyingine? Tuwape fursa wajaribu labda itawafanya watawala wasiwe miungu Watu Kama ilivyo sasa.
Kwa wanaofaidika na system ya sasa ni wazi Kuwa...
Mbunge haelewani na Meya na watendaji wa Halmashauri. Je huyu Mbunge atawezaje kuwapatia maendeleo wananchi?. Sana sana anachoweza ni kuwapigania machinga wazibe barabara na kuchafua mji. Hata hivyo ni wanachi hawa hawa wanaofunga barabara waliomkataa Prof ili wawakilishwe na huyu Form IV...
Haya ndiyo mambo yanatakiwa kufanywa na vyama vya siasa. Kuwa karibu na wananchi hasa wakati wa matatizo ni kujihakikishia ushindi wakati wa kura. Tutegemeee nao CMM watoe misaada hospitali ya Muhimbili au Temeke kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.