Sumu ya sera ya majimbo ya Dr. Slaa na Mbowe kuwaua wabunge wa CHADEMA

Inaonekana hujafanya research yako vizuri! Ninachojua sera ya majimbo ina display accountability! Wewe unacho lilia udc
 
Nadhan ni uvivu wa
kufikir tu;
Kwan ukiunganisha mikoa mitatu ama minne na ukaipa serikal moja (Jimbo)
ktk usimamiz, mwananch anapata athar gan?!
Kwasasa tuna wakuu wa mikoa na Madc kila pahal, nin faida yao kwa
mwananch?! Jibu ni hasara kubwa mana wanaongeza matumiz ya Serikal bure,
kwa kaz ambayo ingefanywa na mtu mmoja!

Wanachofanya viongoz hao kwa sasa sio kosa kabisa, mana wanatangaza
muundo wa serikal yao utakuwaje, ili muda ukifika (2015) kama
unakubaliana nao, utawapa kura na kama unadhan itakugawa bas usiwape
kura yako.

Tusiwe wazito kufikir, hasa kwenye mambo ya kitaifa, mana kwa upeo wenu,
CCM wangetangaza sera hiyo hiyo msingesema mambo ya kugawanywa, mfano
tu hv karibun mikoa imegawanywa sana lakn mlikuwa kimyaaaa!!

TUTAFAKAR HIV; Anaegawanya mikoa na yule anaeunganisha mikoa na kuipa
serikal moja, NAN ANATUGAWA!?

nani kakudanganya kama 2015 wanachukua nchi? mamlaka ya kidemokrasia haipatikani ila kwa njia ya uchaguzi. kama wanajidanganya kwa kuwa na hao vijana waliopata mafunzo ujerumani ya kuvuruga amani ya tanzania yapo wamechemsha. vikosi vyetu viko imara kukabiliana na chokochoko zozote
 
Afu kwa uchubguzi mdogo tuu wangu, ni kama uandishi wa thatha na nape unashabihiana, ila hoja ina maneno mengi lkn dhaif
 
ufitinishaj wako hauna tija,jimbo la Mbowe(Hai) wahisan wakshirikiana na kanisa ndio waliosambaza maj na maeneo meng ya mkoa ule na mirad bado inaendelea had kesho,kizur serikal ikakabidhiwa iisimamie.
Ahad ya jk uhaba maj kua historia dar vp?
peoplesss ..
 
Mmmh hii kali, wametuma vijana ujerumani kama walivyowatuma libya! Na kama cuf ilivyoinguza majambia? 2013!
 
Wewe kwa kutokujua kuwa
umasikini wa nchi hii ni kwa sababu ya ccm, nikuite jina zuri kuwa wewe
ni MJINGA.

nawe nikuite Mpumbavu maana aheri ya mjinga anafundishika. huo wimbo wa umaskini unauitikia tu na kama ilivyokuwa kibwagizo cha globalization. wenzako kimyakimya akina slaa na mbowe wanaimba, 'tunaongea kwa uhuru sababu ya serikali ya ccm na tunajikopesha ruzuku za chama sababu ya wajinga wapumbavu wengi wa cdm ukiwemo wewe'
 
Kama kwa miaka 50 chini ya Chukua Chako Mapema (kwani rasilimali hazina mwenyewe au mwenye uchungu nazo) hali ndiyo hii, kwa nini tusijaribu sera nyingine? Tuwape fursa wajaribu labda itawafanya watawala wasiwe miungu Watu Kama ilivyo sasa.

Kwa wanaofaidika na system ya sasa ni wazi Kuwa watakuwa na hofu sana kwani wanajua Kuwa mwisho wao wa kupora mali bila kuulizwa na wananchi unakaribia. Dhana Kuwa kuna Mikoa haina rasilimali ni potofu kwani nani aliyejua Lindi na Mtwara Leo wangetamani wajitenge kabisa na hili li nchi ambalo kila Mtu anachukua chake na mapema?
 
propaganda za wakati wa YESU! U needs 2 change my fellow countrymen! Hoja za kizamani kwa watu wa kisasa unakuwa kituko!
 
Mleta mada hana la maana
anapinga sera ya majimbo eti utaifa, Utaifa haupo Viöngozi wanataka kujijengea pepo yao Kigamboni kwa Tririon 11 kwa kutumia fedha za gesi, madini, mazao ya mikoani haikubaliki

gesi viwanda vijengwe dar pekee haikubaliki

matunda muheza iringa na kilimanjaro kusindikwa Dar haikubaliki

mahindi Rukwa yanasafirishwa mpaka sembe ikaundiwe dar Haikubaliki

Kila mkoa una rasilimali zake hakuna mkoa masikini Tz.

Majimbo kwanza acha udini wako.

Watoto wanakaa chini wanawaza kigamboni
 
ufitinishaj wako hauna
tija,jimbo la Mbowe(Hai) wahisan wakshirikiana na kanisa ndio
waliosambaza maj na maeneo meng ya mkoa ule na mirad bado inaendelea had
kesho,kizur serikal ikakabidhiwa iisimamie.
Ahad ya jk uhaba maj kua historia dar vp?
peoplesss ..

mhhhh bora wewe umejisemea ukweli maana wengine wanajiumauma tu. maana tulisema kuwa hawa mbowe na slaa ni wabinafsi na wadini watu wakashambulia. hivi nikuulize, hao wafadhili wa makanisa anaowapata mbowe sharti wawekeze hai tu? kigoma hakuna tatizo la maji? au singida au.
 
Kama kwa miaka 50 chini
ya Chukua Chako Mapema (kwani rasilimali hazina mwenyewe au mwenye
uchungu nazo) hali ndiyo hii, kwa nini tusijaribu sera nyingine? Tuwape
fursa wajaribu labda itawafanya watawala wasiwe miungu Watu Kama ilivyo
sasa.

Kwa wanaofaidika na system ya sasa ni wazi Kuwa watakuwa na hofu sana
kwani wanajua Kuwa mwisho wao wa kupora mali bila kuulizwa na wananchi
unakaribia. Dhana Kuwa kuna Mikoa haina rasilimali ni potofu kwani nani
aliyejua Lindi na Mtwara Leo wangetamani wajitenge kabisa na hili li
nchi ambalo kila Mtu anachukua chake na mapema?

hata msemeje hatuwezi kuwapa kura wahuni na mbumbumbu waje kutuharibia kabisa
 
Udini upo kwako!na hayo ni matatizo yako bt the idea presented by CDM ni nzuri! Cha muhimu kuendeleza nchi yetu sio kila kukicha watu wanakimbilia Dar tu na sehemu zengine ziwe na uwezo wakuvutia watu kuishi na kupata huduma sawa na si kujazana Dar tu!
 
Sasa sioni sababu za msingi za kuhusisha chadema na hili kwani vigezo vya kupata kazi hawaangalii kabila wala dini bali ni sifa ikiwemo za kielimu!


hivi hujui kuwa wachaga wamejiposition kwenye maeneo yote ya kifedha. kwa huko mtwara, nenda kaulizie orodha ya maded, madt, maafisa mipango utapata ukweli wake
 
Hawa ndiyo aina watu tunaowataka humu JF, wenye uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo, kuna haja kubwa ya kutafakari kwa kina kuhusu hawa wanasiasa wanakotaka kuipeleka nchi.

Wote mmekutana, Zenu sawa na hamtalala, mtateseka sana kipindi hiki kilichobaki na hata kama mkiiba hazitatosha, Miaka hii tunakomaa na nyinyi wezi wa maliasiri ya Taifa letu
 
We mtoa hoja huna maana kabisa,hiyo mikoa unayong'ang'ania ina maendeleo gani,usituletee propaganda zisizokuwa na maana, Tanzania ya leo sio ya kuletewa uzushi kama wako na watu wakakusikiliza, potea huna maana. We utakuwa Masalia
 
We mtoa hoja huna maana
kabisa,hiyo mikoa unayong'ang'ania ina maendeleo gani,usituletee
propaganda zisizokuwa na maana, Tanzania ya leo sio ya kuletewa uzushi
kama wako na watu wakakusikiliza, potea huna maana. We utakuwa
Masalia

umekwama
 
nani kakudanganya kama 2015 wanachukua nchi? mamlaka ya kidemokrasia haipatikani ila kwa njia ya uchaguzi. kama wanajidanganya kwa kuwa na hao vijana waliopata mafunzo ujerumani ya kuvuruga amani ya tanzania yapo wamechemsha. vikosi vyetu viko imara kukabiliana na chokochoko zozote

Unaongea kama umekatika kichwa, "vikosi vyetu " kwani mubarak ameondokaje hakuwa na vikosi? Gadafi hakuwa na vikosi?
Watu wakichoka wamechoka. Hao unasema watakulinda wao wanaishi katika mfumo upi hawapo kwenye jamii hiihii? Au unadhani wako kimya wanapendezwea na upuuzi? Unaonekana mtu mzima lakini ovyo.
 
Back
Top Bottom