Ndo maana yake kwan hispania c inaongoza kwa pass lakin inaangukia wap...? Mpira ni kufunga tuu na katika mpira hakuna kubaatisha ni uwezo tuu mbona wengine hawabaatishi kila cku anabaatisha mbwana samata tuu
Tatizo la watanzia ndo hilo ..sasa mara unasema anatakiwa afunge mara unasema hatish kwa mabek..me naona kiongoz ungevaa wewe jezi ya samata alafu ukarekebisha makosa yake kma unaona mpira ni rahisi kama kuandika uzi mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.