Recent content by MBWAMBOs

  1. M

    TRA wameita watu kwenye usaili

    ]Greencity hata mi nlipigiwa sm Ila sikupata email hata position gan sifaham waliniambia niende tarehe 13 napiga namba zao hazpokelew ebu tuwasiliane 0712288395 tujue tunafanyaje
  2. M

    Inasemekana Zimamoto wametoa tena majina ya nyongeza?

    naomba ntajie herufi Lo kaka fanya bidii
  3. M

    Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

    mawazo ujenzi rusha na hapa lotimbwambo@gmail.com
  4. M

    Ushauri kuitwa Pccb na World vision Program finance siku 1

    ziko mikoa tofaut dar na arusha kaka
  5. M

    Ushauri kuitwa Pccb na World vision Program finance siku 1

    asante kaka ila wa2 ni weng sana
  6. M

    Ushauri kuitwa Pccb na World vision Program finance siku 1

    Wadau nimeitwa interview mbili pccb accountant field na World vision Program finance& admn officer zote siku 1 tar 17 niende ipi ushauri plz
  7. M

    World vision wameita finance and admin officer?

    wameita kaka inteview tar 17 siku ya ijumaa
  8. M

    Pspf Aptitude test:What to expect?

    Komaa kiume ndio maisha
  9. M

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    niko huku korogwe kwasemangube hali ni tete walimu wako nyumbani tu wakiendelea na shughuli zao za mavuno ya mahindi..awali kuna wachache walifika shuleni ila mwenyekiti wa cwt wilayani korogwe aliwatimua walimu hao ...ivo kabaki mwl mkuu tu akiangalia mali za shule..lakini vitisho haviishi kuna...
Back
Top Bottom