Wana JF,
Tunaomba serikali ingilie kati mara moja kuokoa mstakabari wa wanafunzi wanaosoma fani ya unesi katika chuo Chuo kikuu cha Tumaini tawi la Mbeya.
Watoto hao waliomba kujiunga na chuo hicho wakijua ada ya chuo ni shilingi laki saba kwa mwaka. Ghafla, wanafunzi wanapokwenda kulipoti...
Kumekuwepo na baadhi ya wanasiasa kuongea lugha za makabila wakati Wa kuomba nafasi za uongozi. Binafsi sifurahishwi na Tabia ya wanasiasa Wa namna hiyo kwakuwa watanzania hatukuzoea kuona viongozi wetu wakituhutubia kihivyo. Mm ninajiuliza, Tabia hii sio mwanzo Wa kuchochea ukabila katika...
Kwa maisha ya mwanadamu, kazi mhimu na ya pekee in kumtumikia Mungu. Nimetafakari sana kazi zote no ubatili mtupu na kujilisha na upepo. Kama mtu anaweza kuaminiwa na kuheshimiwa alafu akafika mahara akawageuka waliomwamini basi Mungu pekee ndiye anafaa kuaminiwa na mwanadamu.
Kwanini wasimwalike Mwigulu au Kinana au Nape?. Kila Sikh Hugo Hugo inaboa!!!!. Utafikiri hakuna makada wengine wanaoweza kusaidia chama!. Channel ten na CCM badilikeni!.
Leo ni takribani siku ya NNE tangu kipyenga cha kampeni kifunguliwe. Mpaka sasa magufuli kazunguka mikoa kadhaa kwa kushirikiana na mgombea mwenza wake. Ukawa bado hawajazindua kampeni na hata huku mikoani bado wako tuli!. Kwa namna hii so mtakuta magufuli kashinda kwani mpaka sasa hana mpinzani...
Kauli kama hizi zikiendelea kufumbiwa macho zitaliangamiza taifa. Ukiangalia kwa making, chama tawala na ambacho kina jukumu la kulinda utulivu na aman ya nchi ndicho kinachochea siasa za kikanda na kikabila. Nitasikitika sana kama Mzee mwinyi, Mkapa na Kikwete watafumbia macho kauli kama hizi.
Tunahitaji kuwa na taifa imara na lenye umoja kuliko tunavyo hitaji kumpata rais wa nchi hii. Kauli ya kuwagawa watanzania inapaswa kukemewa na kila kiongozi mpenda nchi hii. Pia ni wajibu was kila mtanzania kuwapuuza wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kidini,kikanda na kikabila.
Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.