Ujumbe wa kiusalama kwa wenye nyumba na polisi siku ya uchaguzi

East African Eagle

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
3,759
2,205
Siku ya uchaguzi CHADEMA wanataka wafuasi wao wakae mita mia moja toka kituo cha kupigia kura kwa kile kinachoitwa kulinda kura zisiibiwe maana hawawaamini mawakala wao waliioko ndani ya vyumba vya kuhesabu kura waliowaweka wenyewe.

Mwenye nyumba usikubali wakusanyike kwenye uwanja wako au nyumba yako wa CHADEMA ni hatari kwa usalama wa nyumba yako na mali zako na NI KOSA KISHERIA (TRESSPASS).Waweza anzisha fujo wakaanza uporaji hilo eneo wanalokusanyikia laweza kuwa la kwanza kuathirika.

Pia kukusanyika kwao eneo la nyumba yako au kiwanja chako ni kukukosesha uhuru Amani na utulivu katika eneo lako sababu waweza kuwa wanapiga mikelele hivyo kukufanya ushindwe kulala kwa ajili ya upuuzi wao au usijisikie Amani kwa uwepo wao

Lakini pia kukusanyika kwao kwenye eneo lako kama ni la biashara wataweza kufanya wateja waogope kuja kununua kwenye eneo lako kwa kuhofia usalama wao kwa hilo kundi lililojikusanya.

Unachotakiwa kufanya cha kwanza waambie kistaarabu watoke eneo lako.Wakikataa ripoti serikali ya mtaa au kwa mjumbe kuhusu uvamizi wa watu kwenye eneo lako.Ukiona vipi piga simu polisi wataarifu kuwa kuna watu wamevamia eneo lako wameweka mkusanyiko hapo waje wawaondoe maana hawataki kutoka kwa hiari.

Upande wa polisi kuna sheria zinazohusu mikusanyiko na uchaguzi.Tunaomba jeshi la polisi lizingatie hizo sheria.Sheria zinatambua mawakala kuwa ndio wateule halali wa vyama husika.

Hilo jeshi lingine jipya linalojiita la litasimama mita 100 kulinda kura halitambuliwi kwenye sharia ya uchaguzi na pia Mikusanyiko isiyo na kibali hairuhusiwi kisheria.

Hivyo mikusanyiko yoyote ambayo haina vibali ni kazi yenu jeshi lapolisi kuifanyia kazi.Kama vyama husika haviamini mawakala wao ni shauri yao.Hawawezi twika zigo kwa wapiga kura kuwa wakeshe wakilinda kura!
 
Kwa mujibu we Maelezo halali ya tume matokeo ya kura yatabandikwa kwenye kila kituo cha kupigia kura na wananchi watakuwa na haki ya kuyaona matokeo hayo sasa kuna ubaya gani kwa wananchi kuyasubiria matokeo kwenye vituo vya kupigia kura ili waweze kuyajua, acha uchochezi wewe
 
UKAWA itisheni press conference na mtoe elimu ya kupiga kura kwa wananchi. Asiende mtu mmoja kama Mbatia bali siku hiyo jopo zima liwepo ili kuweka uzito na iwe live.

Vinginevyo, kama wadau walivyosema hapo juu, uwezekano wa dotCom, bodaboda, na wapiga kura wengine ambao hawana experience kuharibu kura kwa kuweka X kwa wagombea wengine ni mkubwa mno ukizingatia uchaguzi huu ndio wa kwanza wa aina yake kwa watanzania kujitokeza kwa maelfu kupiga kura. Hawana experience na Tume haitaki kuwaelimisha, wasaidieni.
 
wanakusanyika Kwenye Kituo Cha Kupigia Kura Au Nyumbani Kwa Mpiga Kura?:...Naona Kama Umeandika Tofauti Na Shughuri Itakavyokuwa!
 
jamani huku CCM ni Presha na joto tupu, siku zinahesabika Za Kuanza kutumia Anga La Ukawa Chini Ya Brigedia Kamanda Mkakamavu Sekta Zote Mh. LOWASSA!...kuanzia siku hiyo nitaishi kwa furaha Na amani ndani ya nchi yangu, na kuzidisha mahaba kwa nchi yangu!

AHSANTE! LOWASSAAAA.....AHSANTE BABAAAA.....! WEWE NI RAISI WETU NA TUNAKUKUBALI!!
 
Kwa mujibu we Maelezo halali ya tume matokeo ya kura yatabandikwa kwenye kila kituo cha kupigia kura na wananchi watakuwa na haki ya kuyaona matokeo hayo sasa kuna ubaya gani kwa wananchi kuyasubiria matokeo kwenye vituo vya kupigia kura ili waweze kuyajua, acha uchochezi wewe

Suala ni wakasubirie wapi?
Maeneo ya kituo cha kupigia kura ndio maeneo wapiga kura wanaishi labda wawe wapiga kura mamuluki wa kutoka mbali waliofoji kujiandikisha eneo lingine ambao si wakazi wa eneo husika
Kama ni kusubiria waende wakasubirie kwao sio kwenye viambaza,viwanja na kwenye nyumba za watu wengine.
 
Mleta uzi unaweweseka kwa mbaaali. ...

Kuna taarifa za kuwa kuna wengine watakaokusanyika kujifanya wanalinda kura si wakazi wa eneo husika,na si tu si waeneo husika lakini si raia wa Tanzania ni watu wameandaliwa kufanya vurugu toka nchi moja jirani.Polisi wafanye ambush kwa watakaokusanyika na wawahoji barabara watagundua kuwa kuna watakaokusanyika kujifanya walinda kura hawana uhusiano na eneo husika na si raia na wameletwa kuleta vurugu tu.
 
Polisi wakifanya masihara na nguvu ya umma kosa la sekunde moja tu inchi inaweza kuandika historia mbaya kuliko nchi ya Rwanda polisi siku iyo inabidi wawe wapole sana na wawe rafiki wa wana nchi wawasikilize na kuwashauri kinyume na apo ni balaa
 
tresspass, hahaha Hiyo tort of trespass itakuwa haina nafasi endapo mwenye nyumba atakubali wakae "volenti non fit injuria", lakini wakae kwa amani bila kufanya uharibifu!
 
Nasikitika hutaelewka kwa sababu ni.siku hiyo si mwenye nyumba wala duka atakuwa makini nalo zaidi ya kuhakikisha mstakabali Wa maisha yake utakuwaje kwa miaka mitano ijayo.

Isipokuwa labda hao polisi.wao utawajua kipindi watu wanataka haki itendeke.watakwambia sheria inasema hivi.

Cha msingi waone ni jinsi gani watatumia akili zao vizuri ili kuhakikisha hawawi chanzo cha uvunjifu wa aman.
 
Siku ya uchaguzi CHADEMA wanataka wafuasi wao wakae mita mia moja toka kituo cha kupigia kura kwa kile kinachoitwa kulinda kura zisiibiwe maana hawawaamini mawakala wao waliioko ndani ya vyumba vya kuhesabu kura waliowaweka wenyewe.

Mwenye nyumba usikubali wakusanyike kwenye uwanja wako au nyumba yako wa CHADEMA ni hatari kwa usalama wa nyumba yako na mali zako na NI KOSA KISHERIA (TRESSPASS).Waweza anzisha fujo wakaanza uporaji hilo eneo wanalokusanyikia laweza kuwa la kwanza kuathirika.

Pia kukusanyika kwao eneo la nyumba yako au kiwanja chako ni kukukosesha uhuru Amani na utulivu katika eneo lako sababu waweza kuwa wanapiga mikelele hivyo kukufanya ushindwe kulala kwa ajili ya upuuzi wao au usijisikie Amani kwa uwepo wao

Lakini pia kukusanyika kwao kwenye eneo lako kama ni la biashara wataweza kufanya wateja waogope kuja kununua kwenye eneo lako kwa kuhofia usalama wao kwa hilo kundi lililojikusanya.

Unachotakiwa kufanya cha kwanza waambie kistaarabu watoke eneo lako.Wakikataa ripoti serikali ya mtaa au kwa mjumbe kuhusu uvamizi wa watu kwenye eneo lako.Ukiona vipi piga simu polisi wataarifu kuwa kuna watu wamevamia eneo lako wameweka mkusanyiko hapo waje wawaondoe maana hawataki kutoka kwa hiari.

Upande wa polisi kuna sheria zinazohusu mikusanyiko na uchaguzi.Tunaomba jeshi la polisi lizingatie hizo sheria.Sheria zinatambua mawakala kuwa ndio wateule halali wa vyama husika.

Hilo jeshi lingine jipya linalojiita la litasimama mita 100 kulinda kura halitambuliwi kwenye sharia ya uchaguzi na pia Mikusanyiko isiyo na kibali hairuhusiwi kisheria.

Hivyo mikusanyiko yoyote ambayo haina vibali ni kazi yenu jeshi lapolisi kuifanyia kazi.Kama vyama husika haviamini mawakala wao ni shauri yao.Hawawezi twika zigo kwa wapiga kura kuwa wakeshe wakilinda kura!

Acha uchochezi miaka yote tumefanya uchaguzi hakuna kilichotokea kama hicho unachotaka kueleza kumbuka siku hiyo watu wana uhuru wa kukaa nakusubiri.acha uchochezi kama wa kinyarwanda.
 
Siku ya uchaguzi CHADEMA wanataka wafuasi wao wakae mita mia moja toka kituo cha kupigia kura kwa kile kinachoitwa kulinda kura zisiibiwe maana hawawaamini mawakala wao waliioko ndani ya vyumba vya kuhesabu kura waliowaweka wenyewe.

Mwenye nyumba usikubali wakusanyike kwenye uwanja wako au nyumba yako wa CHADEMA ni hatari kwa usalama wa nyumba yako na mali zako na NI KOSA KISHERIA (TRESSPASS).Waweza anzisha fujo wakaanza uporaji hilo eneo wanalokusanyikia laweza kuwa la kwanza kuathirika.

Pia kukusanyika kwao eneo la nyumba yako au kiwanja chako ni kukukosesha uhuru Amani na utulivu katika eneo lako sababu waweza kuwa wanapiga mikelele hivyo kukufanya ushindwe kulala kwa ajili ya upuuzi wao au usijisikie Amani kwa uwepo wao

Lakini pia kukusanyika kwao kwenye eneo lako kama ni la biashara wataweza kufanya wateja waogope kuja kununua kwenye eneo lako kwa kuhofia usalama wao kwa hilo kundi lililojikusanya.

Unachotakiwa kufanya cha kwanza waambie kistaarabu watoke eneo lako.Wakikataa ripoti serikali ya mtaa au kwa mjumbe kuhusu uvamizi wa watu kwenye eneo lako.Ukiona vipi piga simu polisi wataarifu kuwa kuna watu wamevamia eneo lako wameweka mkusanyiko hapo waje wawaondoe maana hawataki kutoka kwa hiari.

Upande wa polisi kuna sheria zinazohusu mikusanyiko na uchaguzi.Tunaomba jeshi la polisi lizingatie hizo sheria.Sheria zinatambua mawakala kuwa ndio wateule halali wa vyama husika.

Hilo jeshi lingine jipya linalojiita la litasimama mita 100 kulinda kura halitambuliwi kwenye sharia ya uchaguzi na pia Mikusanyiko isiyo na kibali hairuhusiwi kisheria.

Hivyo mikusanyiko yoyote ambayo haina vibali ni kazi yenu jeshi lapolisi kuifanyia kazi.Kama vyama husika haviamini mawakala wao ni shauri yao.Hawawezi twika zigo kwa wapiga kura kuwa wakeshe wakilinda kura!
volenti non fit injuria
ex turpi causa non oritur actio
 
Kuna taarifa za kuwa kuna wengine watakaokusanyika kujifanya wanalinda kura si wakazi wa eneo husika,na si tu si waeneo husika lakini si raia wa Tanzania ni watu wameandaliwa kufanya vurugu toka nchi moja jirani.Polisi wafanye ambush kwa watakaokusanyika na wawahoji barabara watagundua kuwa kuna watakaokusanyika kujifanya walinda kura hawana uhusiano na eneo husika na si raia na wameletwa kuleta vurugu tu.

Kwa jinsi siku hiyo inavyosubiriwa bila shaka itakua ni shamrashamra ya kupokea mabadiliko kwa watz, naifananisha kama watu wanavyosubiria kuukaribisha mwaka mpya kwahiyo PUNGUZA MIHEMKO ccm bye bye
VIVA UKAWA!!!
 
Suala ni wakasubirie wapi?
Maeneo ya kituo cha kupigia kura ndio maeneo wapiga kura wanaishi labda wawe wapiga kura mamuluki wa kutoka mbali waliofoji kujiandikisha eneo lingine ambao si wakazi wa eneo husika
Kama ni kusubiria waende wakasubirie kwao sio kwenye viambaza,viwanja na kwenye nyumba za watu wengine.

Hizo nyumba za wengine unaowaambia waripoti polisi mbona nyingi sana ni za wana Ukawa?
 
Back
Top Bottom