yaani tumefatilia mpaka mume wangu ananiambie mke wangu tuache tu hili swala labda na hili la kuasili pia hatuna bahati....kiukweli wana jf sisi tusio na bahati ya watoto tunapitia wakati mgumu sana.....yaani kuna wakati unaenda kwenye hizo ofisi zao huku wilayani unaenda kuanza hizi process za...
Habari wana JF,
Kuna dada anaitwa Shirima yupo makao makuu pale Dsm ofisi zao zipo pale Kivukoni nyuma ya ghorofa la utumishi.
Huyu dada amekuwa mwiba kwa wale ambao wameshindwa kupata mtoto na kuamua KUASILI(ADOPTION)kama umeshawahi kufuatilia KUASILI MTOTO lazima utakuwa unajua hekaheka za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.