Recent content by mbuzi meee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

    Alipoitwa jina sikumwona akijibu kwa kipaza sauti ,ckumwona akienda mbele kupiga kura na wala sikuona akipelekewa karatasi apige kura, nadhani hakupiga kura(I stand to be corrected)
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

    Mkuu mbukoi nadhani unajua jinsi siasa hasa hapo Arusha zinavoendeshwa. Serikali yote ya ccm wanapambana na Lema na wanahakikisha mbunge hatulii akafanya kazi yake vizuri. Tumeshuhudia ukatili ulofanywa na polisi kama mauaji, mabomu na kuwekwa ndani mara kwa mara. Kama kweli wana Arusha mnataka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mh. Wenje umenitukania baba yangu

    Baba yako ni hasara kabisa, msosi tu anaingia kingi
  4. M

    JamiiForums Tanzania TB Joshua: Ndege iliyopotea Indonesia ipo kati ya bahari ya Hindi kisini mwa Indonesia

    Kama aliwaambia kuna ndege itaanguka wawe makini katika kukagua ndege zako hawakumsikia kweli watamwita akawaoneshe ilipo ndege
  5. M

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa Mhe Kikwete na watanzania toka Goma

    KKKT Goma! Acha utani au ulikuwa unamaanisha kanisa la Lutheran Goma
  6. M

    JamiiForums Tanzania TB Joshua: Ndege iliyopotea Indonesia ipo kati ya bahari ya Hindi kisini mwa Indonesia

    Satellite za China hazijaona mabaki eneo hilo, amesema waliyoyaona ndio ni mabaki ila yapo mbali na eneo la tukio kwa sababu ya mawimbi na yaliyoonekana yameshazama
  7. M

    JamiiForums Tanzania TB Joshua: Ndege iliyopotea Indonesia ipo kati ya bahari ya Hindi kisini mwa Indonesia

    Watu hawamwamini mkuu, si unajua watu walivo, wanakomaa na satellite, amesema picha wanazoziona za satellite si sehemu ilipo maana mabaki yanapelekwa na mawimbi mbali sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania TB Joshua: Ndege iliyopotea Indonesia ipo kati ya bahari ya Hindi kisini mwa Indonesia

    Happening live and direct kwenye Emmanuel.tv. Prophet TB Joshua amesema sehemu ndege iliyoanguka ilipo kuwa ni kati ya bahari ya Hindi na Indonesia kusini.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real madrid fc 'the galacticos!'

    Tukutane mwisho wa mechi ya leo baada ya Madrid kufungwa na Barca
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kama ni rais, watanzania tulipata
  11. M

    JamiiForums Tanzania Warioba; Hasira zako usizitumie kuibomoa nchi

    Tukusaidieje?
  12. M

    JamiiForums Tanzania MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

    kihedemuswede, Pole sana. Nakushauri angalia Emmanuel.tv au kama utakuwa na uwezo uende SCOAN, utapata deliverence ya uhakika. Nakushauri ufanye hivo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mfuasi wa Boko Haram Anaswa na Nabii Emanuel (SCOAN)

    Nchi nyingi na jamii zinazoongoza kwa tabia hyo chafu ni uarabuni na kanda ya pwani (pemba, tanga, ) na sehem zote hizo zina waislam wengi
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mfuasi wa Boko Haram Anaswa na Nabii Emanuel (SCOAN)

    Boko haram is cult, alisema kijana mustapha umar , aliyedakwa na T B Joshua. Alisema kabla ya kujiunga kuna maneno ya kiarabu yaliandikwa kwenye kikaratasi na kuwekwa kwny maji na kunywa. Alipokunywa tu, akaanza kuona kawaida kuua watu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Star tv wapo live semina bunge la katiba

    Kibo10 asante kwa taarifa
Back
Top Bottom