Kwa wale vijana wetu wanaojipa minamba mara sijui 26,sijui 29 n.k...
Nataman hao Dubula wa wachinje hadharani na kuwabanika moto...ili iwe fundisho kwa wengine wanaokimbia Tz af wanaenda kuwa wapumbavu nchi za watu...
Mimtu inapotea nchi za watu ikirudi bado ni mizigo kwa familia zao...
Kwa hiyo kumbe wanapokuja Afrika kusisitiza tuwe na vyama Vingi ili TULETE MCHANGANYO NA MCHANGANYIKO...sasa mbona basi sisi washapata mwanya...nao Waanzishe CCM B...alafu vingine vifutwe tu
Nimepitia kuanzia mwanzo mpaka mwisho..Daah marehemu Mungu ailaze roho yako mahali pepa peponi...Kupitia historia yako nimejifunza mengi sana...HASA SUALA LA NDOA NA MIGOGORO YA NDOA. .....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.