Recent content by mbuyupunga

  1. M

    Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary: Lowassa hafanani na Mtume Muhammad, Madabida awajibishwe

    Khalifa khamisi katika ubora wake wa kuchumia tumbo lake, mwaka huu wa uchaguzi, tutasikia na kuona mengi.inshaALLAH.
  2. M

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Asante kwa ushauri, ubarikiwe.
  3. M

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Doctor mimi tatizo lango ni presha ya kupanda ambayo imenipata baada ya kutumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume"CUPID"kabla ya hapo ckuwa na tatizo hilo.nimekwenda kupima hospitl majibu yametoka cna kisukari wala lehemu lakini moyo unanisumbua sana Presha hupanda ghafla lakini hata dakika...
  4. M

    Mansa Musa, Richest man ever on records

    Usimlinganishe Qaarun na Suleiman.Qaarun alikua ni tajiri wakati wa nabii Mussa, Suleiman yeye alipewa unabii, akawa ni mfalme na utajiri wake haujapata kutokea na wala hatatokea binaadam atakaekuja kuneemeashwa kwa neema alizoneemeshwa Suleiman, ndio hata bwana Yesu alimzungumzia nabii Suleiman...
  5. M

    Ukweli kuhusu wimbo wa Malaika

    Ingia youtube andika LE BOUCHERON.ukipata tafsiri ya wimbo huo ndio utajua ni kwa nini aliuawa.
  6. M

    Ukweli kuhusu wimbo wa Malaika

    Mtunzi na muimbaji na Franklin Boukaka, ni muimbaji na alikua ni mwanaharakati wa kupigiwa mfano ambae aliuawa wakati wa jaribio liloshindwa huko Congo ya Brazzavile Aliuawa mwaka 1972 Akiwa na umri wa miaka32.
  7. M

    Ukweli kuhusu wimbo wa Malaika

    Huo wimbo unaotumiwa na DW wakati wa kusoma taarifa zao imeimbwa na Francklin Boucaca.hata kwa you tube utaupata.
Back
Top Bottom