kuna sababu nyingi, inaweza kuwa ni tamaa ya mwili ama pesa, kujaribu kwingine kupoje, kulipiza kisasi na kwa sababu ya kuiga kwa sbabu fulani anafanya basi na mimi nikifanya ni kawaida tu.
kulingana na maelezo yako na tukio lenyewe, inaonekana hawakupendana isipokuwa mwanamume ndiye aliyependa, na pia inaonekana kuna kulazimishana, kwa hali hiyo atafute njia nzuri ya kuachana ili aishi kwa amani hamna ndoa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.