basi tukafanyie kule kuleZinafaa tatizo unajikuta kwenye mchakato ule ule uliolezewa hapo juu,wakati kule mbege na kafaini kidogo shughuli imekwisha
Yaan mie nakazana kumbembeleza TF alete mafuta ya genereta afu wewe unamjibisha?,.Ukinikamata ntakupiga!!!
Hahaha..bora wewe maana mimi nilipeleka hadi greda kutengeneza barabaraAfu mzee mwenyewe ni mwanajeshi mstaafu lakini hana hata huruma...kabila lake ni mngoni asee, ila tunashukuru ndoa ilifungwa...lol.
Mzee wako kwenye mahari waliweka kipengele kwamba nitafute greda nichonge barabara inayofika hadi kwenu nikafanya hivyo sasa na mafuta tena jamani Lizzy si mniambie tu kama mnataka kufungua sheli ya kuuza dizeli na petroli
Ukinikamata ntakupiga!!!
Dah!! Bora umeona maana huyu iko siku atanipiga hata ngwala..Yaan mie nakazana kumbembeleza TF alete mafuta ya genereta afu wewe unamjibisha?,.
atakurudisha vp?Hahahahha. . .
Uwiiiiii, ole wa mtu anivamie xmass kama hajanirudisha mwenyewe.
Yaan mie nakazana kumbembeleza TF alete mafuta ya genereta afu wewe unamjibisha?,.
atakurudisha vp?
Mzee wako kwenye mahari waliweka kipengele kwamba nitafute greda nichonge barabara inayofika hadi kwenu nikafanya hivyo sasa na mafuta tena jamani Lizzy si mniambie tu kama mnataka kufungua sheli ya kuuza dizeli na petroli
Lol, swahiba ulivyoenda kwa utambulisho uliwaambia una undugu na magufuli au?Mzee wako kwenye mahari waliweka kipengele kwamba nitafute greda nichonge barabara inayofika hadi kwenu nikafanya hivyo sasa na mafuta tena jamani Lizzy si mniambie tu kama mnataka kufungua sheli ya kuuza dizeli na petroli
Lol...Kongosho acha naona Lizzy kaanzisha mradi endelevu kuleHa ha ha, karibia watakuambia part ya mahari ni wewe kuwa Waziri wa Ujenzi.
Subiri kwanza mafuta yaje nyumbani basi, ataghairi ujue..Heheheh. . .
Nikiwa mkali anakaa sawa. . . nikijifanya nanyenyekea atadhani nabembeleza ndoa aje kuninyanyasa bure.
Swahiba yaani wala hakuna kabisa hata mimi sielewi yaani nililetewa hiyo mahari jinsi ilivyoandikwa kama vile MOU wamei-bind kabisa ina page 20.Lol, swahiba ulivyoenda kwa utambulisho uliwaambia una undugu na magufuli au?
Kuna thread moja inahusu michango ya harusi imenikumbusha mbali. Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo haya:
- Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama mfano mkeo anatokea Mwanza, na mnaishi Dar, andaa nauli ya watu wawili, malazi kwa siku mbili, na utagharamia shuhuli hiyo ya utambulisho. We tenga 500,000. Hapo tuna assume mkeo atajitegemea. Otherwise 800,000 itakutoka.
- Kumtambulisha mkeo kwenu. Kama nyie nyumbani ni Arusha, utatakiwa umpeleke huko Ngarenanyuki. Sio umlete hapo Tabata mlipopanga. Hapo sio kwenu! Andaa nauli yako na atakaekusindikiza, nauli ya binti na mwenzie, na gharama za vinywaji na chakula siku hiyo. Utahitaji kama 700,000
- Kifuatacho ITV ni kuwaalika wakwe zako nyumbani. Uwatoe watu kama nane Mwanza, uwalete Arusha. Wale, walale, wajisaidie, kwa gharama zako. We acha ubishi, tenga 800,000 tu.
- Kwani we wazazi wako wanajua unakooa? Sasa je? Wasafirishe kwenda Mwanza! Watu watano. Utahitaji kuwa na 500,000. Beba pia ATM card yako, kuna imejensi.
- MAHARI ndio topic inayofuata sasa. Ukiwa mjanja, unganishia kwenye hiyo safari hapo juu uue ndege wawili. Pamoja na hayo, itabidi ubebe 2,000,000.
- Sasa kijana unaweza kumvisha mchumba wako pete. Nunua ya kawaida kabisa ya dhahabu. 350,000. Tukio lenyewe la kumvisha pete unaweza ita marafiki wawili watatu ukatumia 200,000. Au fanya sherehe kabisa. Mi simo
- Oke, sasa unaweza kuitisha vikao vya harusi. Tengeneza kadi za mwaliko wa kamati kwa 200,000, kikao cha kwanza gharama zote ni juu yako. Andaa 500,000. Swali la kwanza kwenye kikao: We una shing ngapi? Sema 1,000,000.
- Utahitaji 100,000 ya sms na simu kukumbushia michango. (Shukuru Mungu kuna cheka time)
- Wakati vikao vinaendelea, utatuma 200,000 kwa m-pesa ili mambo ya kimila yaendelee kule nyumbani. We unaelewa
- Darling, sasa mi kwenye kitchen party ntavaa nini? 300,000!
- Darling, kuna mahali nimeona gauni zuri la send 400,000!
- Baby, rafiki yangu alinunua gauni la harusi China yani lilimpende .. 700,000!
- Wakati huo wewe mwenyewe hujajua utavaa nini, hujanunua pete za harusi, hujamvalisha best man na mkewe. Tuseme unahitaji kama 1,500,000 maana utalia lia sana. Kumbuka, gharama hizi huchangiwi na kamati. Wala hutarudishiwa.
- Siku ya send off lazma uende Mwanza. Utaenda mwenyewe? Ndugu wawili watatu na mshenga 600,000. Kwenye send off utatakiwa kutoa sijui blanketi la bibi, vitenge vya mashangazi, na vikorokoro kibao. Nunua hivyo vitu 300,000 uende navyo ili kupunguza gharama. Beba 200,000 za wale mashangazi watakaoibuka ghafla!
- Mshonee baba mkwe suti 100,000 mama mkwe yeye atavaa gauni la 50,000.
- Fotokopi hiyo hapo juu (namba 15) kwa wazazi wako. 150,000
- Watu watakaopenda kuvaa sare wajitegemee! Mimi sina hela! Ila utavishonea nguo vile vitoto kwa 80,000.
- Siku mbili kabla ya harusi, utaanza kupokea wageni. Unatakiwa uwatafutie malazi na chakula. Kwa ujumla utahitaji kama 500,000
- Jioni watoe auti mashemeji zako ambao hawajawahi kufika Dar ukawanunulie bia ili wakuone wa maana. 200,000
- Siku ya harusi bibi harusi na mwenzie na watoto na ma maids watatakiwa wakapambwe saluni. 200,000
- We na mwenzio mtaenda kunyoa hapo kwa nanii. Ndevu na nywele 10,000
- Siku ya harusi beba sadaka 10,000. Wakati huo umeshamtuma kijana akakulipie hoteli mtakayofikia baada ya harusi. Kamati haitoi hela hiyo, so utalipa malazi ya siku mbili 200,000
- Kama mtaenda honeymoon sehemu yoyote nzuri nzuri nje ya mji, si chini ya 800,000 kwa angalau siku 5.
- Wakati uko huko honeymoon, huna hata kumi, mwanakamati mmoja ambae hakuchanga anakupigia simu Sasa tunavunja lini kamati? Pesa yote iliyochangwa ilitumika kwenye harusi, sasa gharama za kuvunja kamati ni za nani?? 500,000!
- SASA MNAANZA MAISHA YA UNYUMBA. 14,150,000 poorer.
Ha ha ha, karibia watakuambia part ya mahari ni wewe kuwa Waziri wa Ujenzi.
Subiri kwanza mafuta yaje nyumbani basi, ataghairi ujue..
Akizimia tutammwagia maji ya baridi yenye ukwaju ataamka....lolOhhh nifiche makucha ehhh?
Naogopa asije akazimia siku nikiyaonyesha.
Swahiba sikuelewi vileeee kama vile na wewe ajenda yako ni moja na LizzyAkizimia tutammwagia maji ya baridi yenye ukwaju ataamka....lol