Recent content by mbuyake

  1. mbuyake

    Kama umefikisha miaka 40 na hujapata KAZI. Achana na kutafuta kazi omba kibali cha biashara

    Japo nipo kwenye biashara na nilitaka mwaka huu kubadilisha ujuzi ili niajiriwe ila kwa bandiko hili leo ndo mwisho kuwazuia hilo tena maana nnipo 40 kasoro 2
  2. mbuyake

    Gwajima sababu ya kanisa kufutwa ulishaelezwa, usitafute sympathy haitakusaidia nenda mahakamani kapambane

    Wewe unae juwa tofauti na alichoongea kabla siku ya kufungiwa tuambie,maana ponjoro alikasirika mtoto wa mfalme kutolewa mfano kutekwa ,wakati watoto wa nyerere waliingia front kwenye vita halisi,riziwani alikwapuliwa china ,iweje abdul kutolewafano iwe nongwa
  3. mbuyake

    PICHA: Nilichoshuhudia ni ishara mbaya sana kwa jamii

    Umenikumbusha mbali,maeneo hayo kwa route ya kupitia ya barabara kuanzia hapo,bububu hospitali ya jeshi, Mbuzini,kinyasini,njiapanda pongwe ,mafarasi ,kiwengwa ,pale kuna hotel ya Melia,mapenzi hotel,dream of zanziba ,neptune hotel,hatimae pwani mchangani kijijini ambapo nimeishi 2years
  4. mbuyake

    Nilimwambia mshikaji wangu asitembee na viatu ndani lakini jamaa kasusa na kukasirika

    Nimekuambia kaongee nae kishikaji sio kumbembeleza
  5. mbuyake

    Kura yako ipo kituoni sio nyumbani kwako

    Ni hivi ukipiga inaibiwa ,na nyingine ya kwako wanayo wanasubiri usipoonekana kituoni wanaipiga,na ukipiga bado wanayo ya kwako wataitumia pia palipo pelea kujazilishia ushindi wa kishindo.hii kitaalamu tunaitwa,ukipiga umepiga mara mbili na usipopiga ni kama umepiga.
  6. mbuyake

    Nilimwambia mshikaji wangu asitembee na viatu ndani lakini jamaa kasusa na kukasirika

    Acha tabia za namna hiyo sisi ni mavumbi na tutarudi mavumbini,tabia ya usafi ni ya kike mwanaume hata leo nikinunua nguo ya milioni nikiambiwa shimo hili lina dhahabu hata kama sijui ni ya kiasi gani sivui nguo nazama nayo hivyo hivyo ,iweje malumalu ndani ya chumba ambayo unakanyaga na kufuta...
  7. mbuyake

    Mimi ni mlizi, leo siku vizuri kiafya sasa bosi wangu alinikuta nimelala akanipiga picha na kuweka kwenye group

    Bila mlinzi kupigwa picha ni ngumu sana supervisor kuthibitisha kuwa umekutwa umelala mbele ya management hivyo hiyo hata mimi nimepitia nilikuwa sikubali bila picha
  8. mbuyake

    Mimi ni mlizi, leo siku vizuri kiafya sasa bosi wangu alinikuta nimelala akanipiga picha na kuweka kwenye group

    Mkuu kwa mshahara gani ,mlinzi anaopata ili kupata mahitaji yote hayo?
  9. mbuyake

    Nafasi 10 za ubunge wa Bure za Rais zina tija Gani? Mpina ni useless like Bashiru really?

    Kama ilivyo police tz,haijalishi yupo eneo gani,kama ilivyo mjeda wa jwtz ,haijalishi yupo kambi ya mkoa gani ni mjeda wa tz nzima,hivyo vivyo kwenye website mpina ni mbunge wa tz parliament hana mipaka kuzungumzia issues ambazo ni kero kwa tz nzima,kwa hali hio raisi kaona kamchamba eti...
  10. mbuyake

    Familia ya Juma Maganga yamlilia Rais Samia awasaidie ndugu yao atolewe Jela Sudan Kusini

    Hiyo kesi ina masirahi yoyote kuhusuiana na ushindi wa mama 2025 kama haina haina basi sahau
  11. mbuyake

    Ameimaliza Tanganyika, Amekamilisha Zanzibar Huru. Mkileta za Kuleta anarudi kwao Zanzibar

    Skuyajua hayo na nahsi ndo kwa sasa wasiojulikana ndo tuwaowaskia kutokea humo
  12. mbuyake

    Ameimaliza Tanganyika, Amekamilisha Zanzibar Huru. Mkileta za Kuleta anarudi kwao Zanzibar

    Hapana kwa sasa ni kama vikosi mfano jku kwa jeshi la kujenga uchumi,kmkm ,ni kwa ajiri ulinzi wa kupambana na uharamia majini na mengine ,ila sio jeshi la ulinzi kamili wa mipaka ya nchi kama jwtz
  13. mbuyake

    Ameimaliza Tanganyika, Amekamilisha Zanzibar Huru. Mkileta za Kuleta anarudi kwao Zanzibar

    Kwa udi na uvumba anatafuta muda mwingine ,ili akamilishe Zanzibar yenye jeshi kamili maana ake suala la majeshi lisiwe la muungano
  14. mbuyake

    Hivi wanawake wa kihangaza kutoka Ngara Kagera wana tabia gani?

    Kwenye visasi nakubari nina kamchepuko kahangaza,,kakikasirika hata kama kosa ni lake hadi uombe excuse wewe vinginevyo bora penzi liishe
Back
Top Bottom